Aliyemuua bilionare Erasto

Nalipongeza jeshi la police kwa hatua nzuri waliofikia,,ila nawashauri wana usalama wamtumie huyu kijana aliyeweza kumlenga na risasi 21 zikafanikiwa kumpata bilionea,,,,atakuwa ni asset nzuri sana kwa inchi yetu,,maana anaonekana mkono wake hauna vibratiion(hana pepopunda ya mkono) atumiwe kule darfu ,congo,au akae hapa dar kwenye trafic light kwaajili yamajambazi wanaotumia bodaboda
 
Atakuwa asset kubwa sana kwa kile chama kinachotumia dola kuua wananchi wake kwa risasi na mabomu!! Yaani akilenga hadhara anaimaliza yote kama komandooo. Kudadeki,. cc Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Chama, ZeMarcopolo, Ritz!!!
 
Huwezi kuw na aman kwa kuua .kumbukeni kaini alipomuua abel nin kilimpata
 
Jamani kifo cha huyo kaka kimegusa wengi, huyo aliyetekeleza hayo ni Banjoooooooo yeye kazi ndio hizo, na leo nimemuona hapo mjini karibia na New Arusha anatembea bila wasiwasi.
 
Bado haujasomeka kisawasasawa..leta nyaraka nyeti za kuthibitisha kauli yako.
 

Alikuwa anamchukulia mke?..maana hii huwa naona wale mlioowa na kuolewa mna machungu sana na mali zenu zilizofichwa huko ndani, huko ndani kabisa...nisameheni lakini, japo kwa kweli hukumu ya wezi wa mali hizo adhabu yake huwaga kali sana, mleta uzi hebu tililika na sababu za ustadhi kumuuwa Erasto...
 
Sasa kwa taarifa zisizo rasmi mtu anayeaminika aliyemua erasto ni rafiki yake wa karibu mnoo na mfanyabiashara mwenzake wa mawe ustaadh shariff. Huyu yeye ndio alitoa hela za kufanyia kazi.

Shariff ni mtu wa Hussein Gonga sana na ni Mrangi mwenzie. Hussein Gonga na Jastin Nyari jumamosi walikuwa kituo kikuu cha polisi Arusha wakimsaidia jamaa anaeitwa Kaburu aliyekamatwa kwa kuusika na kupanga njama za kumuua Erasto.
 
Lazima atakua CCM tu huyo, tena ana undugu na mwigulu ZeMarcopolo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…