Nadhani kwa lugha nyingine Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari,TPA inajitoa taratibu katika uendeshaji wa bandari zake! Kazi yake itabaki ni kusimamia uendeshaji wa Bandari,ndiyo maana inaitwa "Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari"!
Kilichobaki ni kukaribisha Wawekezaji watakaoendesha shughuli zake.
Kilichobaki ni kukaribisha Wawekezaji watakaoendesha shughuli zake.