othiambo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 1,982
- 2,768
We yote uliyojifunza kwenye dini,itikadi utamaduni,mila na desturi zako unaushahidi na hakika navyo...Mambo ya kitoto mtoto kufanya na watoto wenzake tunasema watoto wanacheza ila mambo ya kitoto mtu mzima kumfanyia mtu mzima mwenzake ni wakini (mpoto),wewe una walakini mkubwa sana.Kaburi lina adhabu gani na misemo yenu hiyo ya ajabuajabu ukifa utuletee mrejesho iwapo kuna adhabu humo mchangani