King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,674
- 68,644
Ni rafiki yake sanaKama alikuwa na kipindi 'jee huu ni uungwana?' basi aliiga kutoka kwa Leonard Mambo wa Sauti ya Kenya. Kipindi chake hicho kilikuwa kikirushwa kila jumapile saa saba kasorobo.
Duuu! Huko RFA kabaki nani sasa?Nyimbo za kihindi alikuwa Prince Baina Kamukulu nae alishakufa.
Wakongwe wapo akina Wambura Mtani, Beatrice Rabach, Rebeka n.kDuuu! Huko RFA kabaki nani sasa?
Nilikua nakipenda sana, nilikua nacheka mbavu sina. Salaaamm chap chap. RIP BaragazaNamkumbuka kwa kipindi cha salamu chapchap miaka ya nyuma sana Ilikuwa kipindi saa 4 usiku..Apumzike kwa amani.
Bila korona angekufa siku nyingine. Ni ngumu kuona hivyo?
Kwa nini mtu afe leo kama anaweza kufa miaka 20 ijayo?
Kuweni na huruma na watu wengine hata kama si ndugu zenu.
Kaburi lina adhabu gani na misemo yenu hiyo ya ajabuajabu ukifa utuletee mrejesho iwapo kuna adhabu humo mchanganiAllah amstiri na ampunguzie adhabu ya kaburi.
Mungu ndio anapanga vifo vya watu?,amka usingizini ewe mpumbavuMkuu tupo ili tufe hakuna kifo cha bahati mbaya kwa Mungu iwe ajari malaria kujiua hata korona yote ni mipango ya Mungu kama utaki kufa ni bora ujiue tu
Allah amstiri na ampunguzie adhabu ya kaburi.
Amebaki Joseph msukumaDuuu! Huko RFA kabaki nani sasa?
Mkamiti Juma yuko wapi?Wakongwe wapo akina Wambura Mtani, Beatrice Rabach, Rebeka n.k
Sio kweli. Mambo nimemsikiliza miaka ya 2000 mwanzoni mara ya mwisho KBC.Leonard Mambo alikuwepo miaka ya mwisho wa sitini mpaka sabini.
Blood SportUmenikumbusha Bolo Yeung alivyomchimba mkwara Van damme!
Unautaalam gani wa kuwatambua watu wanaotumia vidonge????Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi. Lakini picha inaonyesha kama alikuwa mteja wa ushauri nasaha. Mtumiaji wa kunde
😂😂😂😍😂😂😂😂Ngoja madalali wa chanjo waje kumwaga vitisho
Mungu ndio anapanga vifo vya watu?,amka usingizini ewe mpumbavu
Mkamiti Juma yuko wapi?
Rahab Fredy, mtoto wa mama Sabuni wako wapi?
Kid bwai, wako wapi?