Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 5,006
- 4,663
Mafanikio ya aliyekuwa kocha wetu wa Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara timu ya Simba SC akiwa anaifundisha timu ya Taifa ya Mauritania kwenye mashindano ya Afcon 2021.
Timu imecheza mechi 3,
Imefungwa mechi zote 3,
Imefungwa magoli 7,
haijafunga goli hata 1 na imeshika mkia kwenye kundi lake.
Timu imecheza mechi 3,
Imefungwa mechi zote 3,
Imefungwa magoli 7,
haijafunga goli hata 1 na imeshika mkia kwenye kundi lake.