Aliyeko karibu na Polepole

Aliyeko karibu na Polepole

Polepole amejikanyaga mwenyewe, hajui hata anachotafuta
 
Awe makini mnooo
Sitafunguka sana

Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!!

Britanicca
Aiseee, juzi ulituambia Mombo is gone. Na haikuwa. Leo tena una zandaani kumhusu Polepole.
 
Bro unatafuta umaarufu ama nini? Mpaka Polepole mwenyewe anajuwa kuwa anawindwa, kuna mtu hii nchi hajui kuwa Polepole anapaswa kuwa makini?
Kujua anajua lakini kupewa tahadhari zaidi ni jambo jema sana. Unaweza kuwa unajilinda na maji kwasababu waliokuwa wanakutafuta waliweka mitego yao kwenye maji halafu kumbe ghafla wakaamua kubadili mbinu na kuanza kutafuta nyayo zako
 
Polepole alianza kufanya mistake sometimes kuonyesha ile View na ile background kwenye ile nyumba yale ni makosa sana kama umeamua kupambana na watu kama Rostam CIA kabisa utakiwi kuonyesha background na view kama ya ile nyumba ni big mistake watu wanaweza kujua uko wapi ikabaki story
Mbona siku zote anaweka pazia. Background ni AI tu. Sidhani kama anaweza kufanya makosa ya wazi hivyo. All in all tunamuombea sana M/Mungu amlinde, maana anachopigania ni kitu kikubwa sana mbele Zake. Mungu azidi kuwadhalilisha mafedhuli wakwapua mali za Watanzania. Waishie kudhalilika maisha yao yote.
 
Mbona siku zote anaweka pazia. Background ni AI tu. Sidhani kama anaweza kufanya makosa ya wazi hivyo. All in all tunamuombea sana M/Mungu amlinde, maana anachopigania ni kitu kikubwa sana mbele Zake. Mungu azidi kuwadhalilisha mafedhuli wakwapua mali za Watanzania. Waishie kudhalilika maisha yao yote.
Jimama nataka unilee😂😂
 
Kama ni hivyo basi nichukue nafasi hii kumsihii... Kama anachokifanya sio maigizo bali ni uzalendo wa kweli, basi kwa imani yake na kwa huyo MUNGU anayemtegemea... Kwa kipindi hiki kumuomba tu mungu haitoshi inatakiwa ajitoe sadaka//kafara kabisa kwaajili yake na watu wake. Like; from this month 1dinner/24X40 then kila jaribu litakalo katiza mbele yake awe anapangua midhili ya Yesu alivyokua anapangua ktk zile 40days hata akiambiwa falme yote itakua chini yake hiyo offer nayo apangue.
 
Ile ni picha mzee,sio nyumba halisi
Polepole alianza kufanya mistake sometimes kuonyesha ile View na ile background kwenye ile nyumba yale ni makosa sana kama umeamua kupambana na watu kama Rostam CIA kabisa utakiwi kuonyesha background na view kama ya ile nyumba ni big mistake watu wanaweza kujua uko wapi ikabaki story
 
“Aliyeko karibu na polepol” kwa nilivyoelewa, sio Polepole aliyeko hatarini, bali ni mtu wa karibu wa Polepole”
 
Back
Top Bottom