Aliyegeuka Chatu

Those old good days! Hii story sijui kama ilikuwa na ukweli. Ila Buguruni lolote linawezekana
 
Mkuu, I am a bit skeptical by nature, hivo naomba uniruhusu niulize maswali mengine:
Hivi process ya mtu kugeuka nyoka ingekua ni kweli si tungeitumia kwa vitu vingi?
Just imagine all the things humanity could do if we could indeed metamorphose into snakes (or dogs)

Ni rahisi zaidi kuamini kua huyo mtu aliuwawa na huyo mwanamke (katika mpango wa kumwekea limbwata)
then mwanamke alipoenda kumwambia mganga nini kilitokea mganga akampa chatu
na akamwambia wewe sema huyu chatu ndio mume wako, maiti tufiche.

Kwa ane mjua chatu, chatu hanaga makuu. it doesn't bite, it eats twice or trice per year
Kwa hiyo huwezi kumpata chatu mkali, never. But it is an impressive animal so ni rahisi kutunga story dhidi yake
Magazeti yalishindwa kwenda beyong police report ambayo na yenyewe ilikua biased (I assume)

This would have been my first assumption as Sherlock Holmes... 🙂
 

Maswali yako hata mi kwangu yananijia,kutoka Binadamu mpaka kuwa Nyoka!! Na watuambie huyo nyoka alibadilika tena au
 
Maswali yako hata mi kwangu yananijia,kutoka Binadamu mpaka kuwa Nyoka!! Na watuambie huyo nyoka alibadilika tena au
Fikiria tu anatomy ya nyoka, linganisha na ya binadamu...
pata picha DNA inavo geuka toka binadamu kwenda nyoka
then imagine muscle zinavo jipangua from human shape to snake shape
Vitu kama moyo na mapafu vina punguza mass, macho yana adapt
then ulimi unaunda thermal system na ubongo unajenga connexions mpya
Manyoa ya mwilini yanageuka magamba, nywele na kope zinapotea
Pigmentation ya ngozi inabadilika etc
It is to hard to picture, easier to believe he was replaced by an existing snake
Na kama badilika bafuni, alikua peke yake huko, Sio?
nani anaweza kuhakikisha kua huyo nyoka ndie yule mtu???
 
Naamini ulikuwa uzushi, sikuwahi kuiaamini hii habari hata mara moja, tatizo la kipindi kile ilikuwa ni upatikanaji wa habari! Habari za kizushi zilikuwa zikipaishwa haraka mno, na jamaa wa mdundiko wakitengenezea vina lazima isambae! Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi uzushi wa nyonya damu na kifo cha straika wa mabondia wa jangwani edgar fongo uliibuliwa kipindi hicho hicho!
 

huyu baba alikua chatu kuanzia kwenye shingo kwenda chini. Kichwa yake ilibaki vivevile. Lakini bado walisema ni chatu mwanamke! Hakuna picha iliyotoka zaidi ya vikatuni
Polisi walitoa taarifa kukanusha tukio hilo kuwepo
 
huyu baba alikua chatu kuanzia kwenye shingo kwenda chini. Kichwa yake ilibaki vivevile. Lakini bado walisema ni chatu mwanamke! Hakuna picha iliyotoka zaidi ya vikatuni
Polisi walitoa taarifa kukanusha tukio hilo kuwepo
Sasa kama kuna mbao walimuona (hadi kusema ni chatu mwanamke), polisi walikanusha nini?
Either walimuona chatu, or hawakumuona...
Na huyo chatu alikua na kichwa cha binadam, mwili wa nyoka?
Na bado wakashindwa kumpiga picha na kuita scientist kumchunguza???
 
atakuwa yule baba alienda kuoga
bafuni kulikuwa na chatu
akammeza, kichwa kikakataa kupita mdomoni
ndo akawa chatu na kichwa cha bin adam.
 
atakuwa yule baba alienda kuoga
bafuni kulikuwa na chatu
akammeza, kichwa kikakataa kupita mdomoni
ndo akawa chatu na kichwa cha bin adam.
Hahahaha, this is another explanation to it. hahahaha
 

Daaah...nilijua tu ukitia timu hapa lazima watu tutapata data zaidi. Shukrani sana Nkwingwa!
 
japo nilikuwa mkoa naikumbuka fika hii stori
iliandikwa kwenye magazeti
japo ngumu kuamini kwa akili ya kawaida

Hahahaha, this is another explanation to it. hahahaha
 
tena mwanamke aliyeolewa na panga la shaba alikuwa anaitwa christina.

Hii stori ilikuwa naipenda sana, japo vijarida vilikuwa vinatufikia baada ya miezi 6.

Daaah...nilijua tu ukitia timu hapa lazima watu tutapata data zaidi. Shukrani sana Nkwingwa!
 
dah NN how old are you ? inaonekana umekuwepo hapa duniani kitambo mpaka story ya 87 unaikumbuka vizuri

Hahahaaa...Bi Mkubwa, mimi ni mkubwa vya kutosha ila siyo mzee kama baadhi ya watu wanavyozusha.

Na nyumbani tulikuwa hatukosi magazeti wala kukosa kusikiliza BBC Idhaa ya Kiswahili, Voice of America, na Deutsche Welle.

Ngabu mkubwa ni news junkie. Na yeye ndiye shujaa wangu. Kwa hiyo kila alichokifanya wakati nikiwa mdogo nilikiona kiko "cool" sana ikiwemo kusikiliza taarifa za habari na matukio. Na pia, kwa wastani nina kumbukumbu nzuri tu ya mambo mengi.

Lakini sasa kwa kadri umri unavyozidi kwenda kaskazini na majukumu yanavyozidi kuongezeka kumbukumbu yangu nayo ndivyo inavyozidi kwenda kusini.
 

Kwa hiyo Mwali, ni kwamba unakataa stori kama hiyo haikuwepo au?
 


baada ya hapo aliendelea kuwa chatu ama aligeuka na kuwa binadamu tena?
 

Hizi stori huwaga zipo kwenye jamii. Sasa kama ni huwaga za kweli au la, hilo wengi hatuwezi kulithibitisha.

Mwaka juzi tu hapa iliripotiwa kuna mtu kageuka paka au sijui aliota manyoya kama paka pale Salenda briji. Whether that was true or not, I don't know. But it was the talk of the town for some days.
 
Kwa hiyo Mwali, ni kwamba unakataa stori kama hiyo haikuwepo au?
Sikatai kila kitu katika hii story. I am just thinking aloud hapa.
Kuna vitu vilitokea kweli
Kuna mwanamke alienda kwa mganga (proof: confession ya mama)
Kuna mganga alipana dawa (limbwata) (Proof: testimony ya mama)
Kuna mwanaume alipotea baada ya kutumia hizo dawa (proof: confession ya mama/fact)
Kuna nyoka alipatikana bafuni (Proof: testimony ya watu)
Then kuna areas nyingi ambazo sio clear:
Nini kinaonesha kua huyo nyoka ndio yule mtu?
Yule mtu alionekana lini na wapi mara ya mwisho na nani anaweza kutoa ushahidi?
Ukitumia hizo elements zenye uhakika mkubwa kwa kujibu haya maswali
kuna hypothesis nyingi zinatokea (ya magazeti na yangu zikiwemo)
Unless mtu aniongezee facts zingine itakua ngumu sana kuamini hii story nzima nzima (if at all)
 

Mwali, mimi naona unahangaika bure tu kuwaza na kuwazua kuhusiana na hiki kisanga!

Kwa wengi wetu, hii stori inabakia kuwa moja ya urban legends tu kama ilivyokuwa mambo ya mumiani au ule mbuyu pale St. Peters!
 
Mwali, mimi naona unahangaika bure tu kuwaza na kuwazua kuhusiana na hiki kisanga!

Kwa wengi wetu, hii stori inabakia kuwa moja ya urban legends tu kama ilivyokuwa mambo ya mumiani au ule mbuyu pale St. Peters!
Hahahaha, true mkuu... nilitaka tu tufikirie critically kidogo.
Najua you do ila kuna ambao waliamini ni kweli (maybe)
Sasa naomba, please, unambie hiyo mikasa in bold, what was it? Sijawahi sikia...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…