WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Kwa kweli Gaijin sijakutana na legislation hii ila huenda ipo Ila as a rule of practice mahakamani kuna miiko yake ikiwemo huu utaratibu wa kuvua kofia, kusimama pale hakimu au jaji anapoingia au kutoka na pia kukaa kimya bila kupiga kelele ya aina yoyote ile karibu na eneo la mahakama. Kuna hakimu aliwahi kumfunga mtu kwa masaa machache kwa kupiga honi eneo la mahakama, kuna mtu aliwahi kuhukumiwa faini kwa kosa la kuonyesha dharau mahakamani ( contempt of court)..na hata hili la baraghashia utaona ni along same lines - contempt of court ila adhabu was manifestly excessive.yuko huru kwa sababu mahakama kuu iliona kuwa ulikuwa si uamuzi sahihi lakini wengine ndio wanaona mahakama kuu imeamua tu vile kwa sababu ya shinikizo la waaislam
labda wos anaweza kutusaidia ..............jee kuna sheria ya maandishi inayokataza kofia mahakamani?