Mkuu wewe ni mkristo kweli?Wakristu hatuna umoja kabisa.
Dini yetu ikidhalilishwa na akina ze komedi, au muumini akionewa na mahakama huwa hatulaani wala kuitisha maandamano.
Maaskofu na hata kadinali wasingeweza kutoa tamko lolote.
Mkuu wewe ni mkristo kweli?
nani ataka rufaa? wakiristo?
Na mimi siku nitakapoenda mahakama na ile kofia yangu ya dini ya marasta.... nisikie hakimu atakayeamuru niivue ndio atakiona!!!!!Ona mdini huyu! Mimi Mchungaji nitakata rufaa...
utakata rufaa ngapi?
i)pingamizi la dk slaa kwa kikwete
2)Kukimbia kwa wabunge wachadema kwenda ccm
3)kesi za chenge, mramba dhidi ya ufisadi
4)
5)
Tutakata rufaa huyu jamaa lazima arudi jela, Hakuna mahakama ya Kadhi ndani ya jamhuri.
Mkuu umenikumbusha dictum ya Samatta J, (as he then was) katika hukumu ya DIBAGULA, alisema ukisema Yesu si Mungu,hujakosea popote katika sheria ya nchi, akamwachia Dibagula huyooo...Mzee anajuwa sheria yule!Kwani hamkumbuki ya HAMISI DIBAGULA kule Morogoro?
Wapendwa nimewasiliana na wanasheria ni kosa kuvaa kufia kwa kufunika sehemu kubwa ya Uso. Hakimu alipitisha hukumu halali sababu si mara ya kwanza Ally Sururu kupelekwa mahakamni kwa makosa mbali mbali. Bado ana kesi nyingi za kujibu. Huwezi kuvaa hicho kibandiko mahakamani.