Eti amechukuliwa, as if it was a parcel!Mhe.Godbless Lema anaeleza kuwa dada aitwaye Fatuma Chikawe aliyedai yeye ni mtoto wa Lowassa kabla ya jana kukanusha taarifa hizo na kusema alitumiwa na watu kumchafua Mzee Lowassa, leo mchana amefuatwa nyumbani kwake Kigamboni na watu waliojitambulisha kuwa ni askari polisi na pumueleza kwamba anahitajika ofisini kwa RC. Tangu achukuliwe hadi muda huu hajarudishwa, na hapatikani kwenye simu.!
Second time umejifanyisha! Hii ni shida kubwa sana kwa Taifa. Dah! Very sad! Seriously! Mtaji mkubwa kabisa wa chama cha mafisi!Bola umenielewa m-sure
Mkuu siyo watu wasiojulikana tena, tayari wamejitambulisha wao ni ofisa wa polisi na kumpeleka ofisi ya DAB..mkuu wa kitengo.
Akili yako ina shida kubwa mahali.....kama si tatizo la ukoo unaotoka basi ni ushamba unakusumbua......stupid!!ISIJE kuwa chadema magenge ya akina Lema wamemteka halafu Lema anawapaka matope polisi.Hii spidi ya kuwa ghafla msemaji wa familia inatia shaka,there is something fishy.Polisi mkamateni Lema haraka awasaidie upelelezi
Hahaha unapenda sana kusikia unavyovipenda tu,utapata magonjwa relax aiseISIJE kuwa chadema magenge ya akina Lema wamemteka halafu Lema anawapaka matope polisi.Hii spidi ya kuwa ghafla msemaji wa familia inatia shaka,there is something fishy.Polisi mkamateni Lema haraka awasaidie upelelezi
Hata mm nashindwa kuelewa. Mtu mdogo na dhaifu kiasi hiki bado anafaidi oksijeni na analiangalia jua?hivi ninyi Watanzania dhaifu......ina maana Bashite kawashinda kabisa kabisa?
M-sure hapana ingiza political mahali hapa,Second time umejifanyisha! Hii ni shida kubwa sana kwa Taifa. Dah! Very sad! Seriously! Mtaji mkubwa kabisa wa chama cha mafisi!
Ndo maajabu ya TanzaniaYule mama wa miaka 31 bado anahitaji matunzo!?
Utawala uko vizuri tu ila sisi raia ndo hatujitambui,Yaaani mmama anakubali kutumika na wanasiasa,ngoja wamle uroda wa bure huko kusikojulikanaUtawala huu UMELAANIWA.
Ni kawaida yako kutumia wrong angle ufanyapo conclusion! Ulitaka Lema akipata taarifa azikalie ili iweje? Nikisema hata wewe unajua kilichomtokea huyo binti unakijua na ndio maana unawaalika polisi wamkamate mleta taatifa ili kujificha nitakuwa nimekosea? Acheni utoto wenu na ushamba, na tumieni busara kwani dunia ipo kiganjani!ISIJE kuwa chadema magenge ya akina Lema wamemteka halafu Lema anawapaka matope polisi.Hii spidi ya kuwa ghafla msemaji wa familia inatia shaka,there is something fishy.Polisi mkamateni Lema haraka awasaidie upelelezi