Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Godbless E.J. Lema amesema, Yule binti aliyedai ametelekezwa na Mzee Edward Lowassa, amekamatwa baada ya kuomba radhi kwamba jamii imsamehe alikuwa anadanganya. Aliomba radhi kwa kumsingizia Mzee Lowassa.
"Muda huu ninavyoandika tweet hii, wamemchukua dada aliyeomba radhi jana kwa kusema yeye ni mtoto wa Mhe. Edward Lowassa ajulikanae kwa jina la Fatuma nyumbani kwake kigamboni.. Habari nilizonazo kwa sasa wanampeleka ofisini kwa Bashite" .
Habari zaidi, soma=>Hatari! Dada aibukia kwa RC Makonda na kudai ametelekezwa na baba yake ambaye ni Mzee Edward Lowassa
Aliyedai kuwa mtoto wa Lowassa aomba radhi kwa kumdhalilisha; asema tukio limechukuliwa kisiasa na sasa anakosa amani
Binti aliyetelekezwa na Mzee Lowassa asema Fred Lowassa alimtambua na kumhudumia. Lowassa agoma kupima DNA
"Muda huu ninavyoandika tweet hii, wamemchukua dada aliyeomba radhi jana kwa kusema yeye ni mtoto wa Mhe. Edward Lowassa ajulikanae kwa jina la Fatuma nyumbani kwake kigamboni.. Habari nilizonazo kwa sasa wanampeleka ofisini kwa Bashite" .
Habari zaidi, soma=>Hatari! Dada aibukia kwa RC Makonda na kudai ametelekezwa na baba yake ambaye ni Mzee Edward Lowassa
Aliyedai kuwa mtoto wa Lowassa aomba radhi kwa kumdhalilisha; asema tukio limechukuliwa kisiasa na sasa anakosa amani
Binti aliyetelekezwa na Mzee Lowassa asema Fred Lowassa alimtambua na kumhudumia. Lowassa agoma kupima DNA