Aliyechora ramani ya dunia msaada

Aliyechora ramani ya dunia msaada

Mkuu kwani we huwezi kuchora ramani ya sebule yako ukiwa ndani ya sebule?

We KakaJambazi unaweza mfanya mtu akacheka vibaya.
Mfano wa mtu na sebule.

Hebu tufananishie ni kama......??.., ndani ya dunia!!

Teh teh tehe teh teh!!
 
Last edited by a moderator:
mkuu kila kitu kinaanza kidogo kidogo mpaka kinafanikiwa.

-mwanzo watu walikua wanajua dunia ni tambarare yani unatembea wee mpaka unafika mwisho wa dunia baadae wakagundua ipo duara (japo ni uwongo mababu zetu walikua wanajua)

-then watu wakaanza kuchora try and error ramani zilikua na makosa mengi

-kadri muda unavyoenda na technology inaongezeka hadi tumepata vitu kama satelite ambavyo vinatoa details sahihi

Kweli mkuu, wapo waliosema dunia jua linazama kwenye matope.
 
mulugo type

ndugu hebu uachie uhuru ubongo wako ufikiri. ila usikaririshwe wewe ulie Kawambwa type hebu toa jibu sahihi likiwa na vielelezo vya kina. ili tuione tofauti ya Mulugo na Kawambwa.
 
Naomba kukuliza swali, unapouliza kuwa huyu aliyechora ramani ya dunia alikuwa amesimama wapi unamaanisha nini?

Namaanisha hivyo nilivyouliza ili nipate jibu na sii kuniuliza tena.
 
Kuchora ramani ya ulimwengu si kwamba mtu alitokea tu,akaanza kuchora.Hapana! Jamani ramani ya ulimwengu ilichukua muda mrefu sana,watu walitumia mamia ya miaka,ukisoma historia kuna waliosema kipindi hicho kwamba dunia ni circle,mwingine akaja na kumrekebisha na kusema dunia ni tufe na ina umbo kama yai, Ramani ya dunia ilikuwa ikichorwa kwa malengo tofauti yaani kisiasa mtu kufaham eneo lake la utawala linaishia wapi,wengine walichora ramani kwa ajili ya maslahi yao binafsi.Hivyo watu walifanya utafiti kuhusu ramani ya ulimwengu kwa mamia ya miaka.Ukisoma geography mambo ya map kuna techinics nyingi sana za kuchora ramani ukiwa chini ya ardhi,hivyo naweza sema geography ilikuako miaka mingi sana iliyopita,mpaka kufikia mwaka 1871 ndugu wawili walioitwa Wright brothers ambao walikuwa na duka la baiskeli huko marekani ndn walikuwa wa kwanza kupaisha ndege yao, kwa hiyo nayo ilisaidia kiasi fulani kuboresha ramani kwa kupiga picha za aerial photographs, pia uvumbuzi wa satellite ya kwanza ya umoja wa kisoviet mnamo 1957 pia ulisaidia kuboresha zaidi na vipimo halisi kabisa mpaka watu kufahamu kipenyo cha ulimwengu na uzito wa dunia.Mtu kama Galileo ambae alitengeneza telescope ya kwanza,akasema dunia inazunguka jua,waroma walimuua wao walikuwa wakiamini kuwa jua ndo linazunguka dunia,teh teh! teh! teh! jamani kuchora ramani ya ulimwengu usifananishe na kuchora ramani ya nyumba. Watu wametia nguvu bwana asikuambie mtu.
 
Itabidi tuwaombe watuwekee jukwaa la watoto.

natumai wewe pia utakuwa mmoja wao kati ya hao watoto maana swali langu wewe ulilitafsiri katika hali ya kitoto ndio maana ukauona umri wa muuliza swali ni wa kitoto
 
Kuchora ramani ya ulimwengu si kwamba mtu alitokea tu,akaanza kuchora.Hapana! Jamani ramani ya ulimwengu ilichukua muda mrefu sana,watu walitumia mamia ya miaka,ukisoma historia kuna waliosema kipindi hicho kwamba dunia ni circle,mwingine akaja na kumrekebisha na kusema dunia ni tufe na ina umbo kama yai, Ramani ya dunia ilikuwa ikichorwa kwa malengo tofauti yaani kisiasa mtu kufaham eneo lake la utawala linaishia wapi,wengine walichora ramani kwa ajili ya maslahi yao binafsi.Hivyo watu walifanya utafiti kuhusu ramani ya ulimwengu kwa mamia ya miaka.Ukisoma geography mambo ya map kuna techinics nyingi sana za kuchora ramani ukiwa chini ya ardhi,hivyo naweza sema geography ilikuako miaka mingi sana iliyopita,mpaka kufikia mwaka 1871 ndugu wawili walioitwa Wright brothers ambao walikuwa na duka la baiskeli huko marekani ndn walikuwa wa kwanza kupaisha ndege yao, kwa hiyo nayo ilisaidia kiasi fulani kuboresha ramani kwa kupiga picha za aerial photographs, pia uvumbuzi wa satellite ya kwanza ya umoja wa kisoviet mnamo 1957 pia ulisaidia kuboresha zaidi na vipimo halisi kabisa mpaka watu kufahamu kipenyo cha ulimwengu na uzito wa dunia.Mtu kama Galileo ambae alitengeneza telescope ya kwanza,akasema dunia inazunguka jua,waroma walimuua wao walikuwa wakiamini kuwa jua ndo linazunguka dunia,teh teh! teh! teh! jamani kuchora ramani ya ulimwengu usifananishe na kuchora ramani ya nyumba. Watu wametia nguvu bwana asikuambie mtu.

Asante sana mkuu kwa ufafanuzi wako natumai hata wanaonibeza kwa kuuliza swali hili na wao wamejifunza kitu.
 
natumai wewe pia utakuwa mmoja wao kati ya hao watoto maana swali langu wewe ulilitafsiri katika hali ya kitoto ndio maana ukauona umri wa muuliza swali ni wa kitoto

Ulitaka akae wapi? mbinguni?
 
Inaonekana mtoa mada alikua mtoro wakati wa somo la geography au hakupata kabisa masomo ya secondary(o-level).

Kuna maswali mengine hata ukijibiwa kwenye hizi coments hutaelewa vizuri,sanasana utajikuta majibu unayopewa yanapelekea wewe kupata maswali mengine zaidi.
Mimi nitakachokushauri,kama unapenda kupata ufahamu juu ya mambo fulani,soma vitabu vingi vinavyozungumzia hayo mambo.
Utafaidika sana.
 
Ramani ya dunia ilipatikana baada ya combination ya mambo mengi ikijumuisha maoni ya uncle pmwasyoke. It is illogical kusema kuwa: 'aliyechora ramani ya dunia'. Hivi kweli mtu mmoja tu angeweza vipi kuchora ramani ya dunia? Zoezi la kuchora ramani ya dunia si jambo jepesi kama vile unavyoweza kusimama ktk kichuguu na kuanza kuchora ramani .

Ni kweli mkuu maana zamani kulikuwa na hawa ma-philosopher / wanasayansi ambao kila mmoja alikuwa anagundua kitu na kuki-document kutokana na pale alipoishia anakuja mtu mwingine nae anafanya yake na kuboresha zaidi though yule aliefanya ugunduzi wa awali anabaki na heshima yake palepale ya kuwa mgunduzi
 
Inaonekana mtoa mada alikua mtoro wakati wa somo la geography au hakupata kabisa masomo ya secondary(o-level).

Kuna maswali mengine hata ukijibiwa kwenye hizi coments hutaelewa vizuri,sanasana utajikuta majibu unayopewa yanapelekea wewe kupata maswali mengine zaidi.
Mimi nitakachokushauri,kama unapenda kupata ufahamu juu ya mambo fulani,soma vitabu vingi vinavyozungumzia hayo mambo.
Utafaidika sana.

Inawezekana pia akawa mwanafunzi ila hiyo topic hajafika ila kwa kuwa ni member wa JF akaamua kutia timu humu kupata maarifa kwa wajuzi wa mambo
 
Back
Top Bottom