Aliyebuni Nembo ya Taifa ya Bibi na Bwana aliwaza nini?

Aliyebuni Nembo ya Taifa ya Bibi na Bwana aliwaza nini?

Salama wandugu
Leo ni jumapili tulivu kabisa baada ya ibada Sasa nimetulia na dodoma wine ya bariiiid Sasa Leo siyo siku ya kupasua kichwa kufikirisha Mambo ya maisha Leo unafikiria Mambo mtambuka,haya wote tujiulize hii nembo ya ikulu huyu mbunifu akamvalisha mwanaume gauni huu si ndio kushabikia ushoga na kuutangaza huenda Watanzania wote na Mzee NYERERE tulikuwa hatujui.
View attachment 2050077
Mbona wanatafuta vazi la taifa, Tungetakiwa tuvae hivi

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo nguo mpaka kesho kuna makabila huvaa. Wacha kuwaza maasi mkuu.

Ninyi ndiyo wale ambao mkiwaona wanawake cha kwanza unawaza ngono. Nadhani ni tatizo la kisaikolojia au tatizo la ugonjwa wa akili
[emoji119][emoji28][emoji28][emoji23][emoji28]
 
National symbol of USA Hawa ndio maana matajiri wa dunia sisi Lana tu kuutukuza ushoga.
images (1).jpeg
 
Kuna rafiki yangu hatumii kilevi chochote lakini anapenda kwenda maeneo ya club sana [emoji3][emoji3] Starehe yake kubwa ni kuwatazama wadada / wamama wanaovaa nusu uchi, akiwaona anadai ni burudani tosha kwake anarudi nyumbani kwa mama watoto wake roho kwatuuuuu!
Mpaka leo sijawahi kuelewa huu ujumbe
 
Halafu angemuongezea hata kampododo kidogo SI unajua venye wa tz tunapenda mizigo huko background....ila jamani nyie Tuacheni utani hili linchi la kiboya yaani hamna ajira halafu yanatunyonya Kodi tubakie kupiga miayo
so unashauri tumchore upya huyo mwanamam ? sisi wasukuma tunataka awe mweupe
 
Halafu angemuongezea hata kampododo kidogo SI unajua venye wa tz tunapenda mizigo huko background....ila jamani nyie Tuacheni utani hili linchi la kiboya yaani hamna ajira halafu yanatunyonya Kodi tubakie kupiga miayo
Mpododo wa Nini ? Hauoni apo Ni juu ya mlima Kilimanjaro?
 
Na huyo jamaa mbona amevalishwa kijigauni?
Hivi leo hata kwenye matukio yakitaifa wale wanaohudhuria matukio wakiambatana na Rais wakivaa hivyo itakuaje?
Hapo hata Mpoto hivyo havai. Mvueni gauni huyo jamaa avae shati na suruale au hata kaptula au msuli
 
Back
Top Bottom