Aliyebuni Nembo ya Taifa ya Bibi na Bwana aliwaza nini?

Aliyebuni Nembo ya Taifa ya Bibi na Bwana aliwaza nini?

Bora ya kwetu, huyu jirani yeye hana binadamu, ana wanyama tu ndiyo walinzi na watoa burudani ya ngoma, na mtungini unaovuja maji

1626427692704.png


Aliyechora hii alikuwa na uhanga tu. Kulikuwa na haja gani ya kuweka hii dushulele, tena kama vile ya binadamu?
 
Salama wandugu
Leo ni jumapili tulivu kabisa baada ya ibada Sasa nimetulia na dodoma wine ya bariiiid Sasa Leo siyo siku ya kupasua kichwa kufikirisha Mambo ya maisha Leo unafikiria Mambo mtambuka,haya wote tujiulize hii nembo ya ikulu huyu mbunifu akamvalisha mwanaume gauni huu si ndio kushabikia ushoga na kuutangaza huenda Watanzania wote na Mzee NYERERE tulikuwa hatujui.
download (2).jpeg
 
Salama wandugu
Leo ni jumapili tulivu kabisa baada ya ibada Sasa nimetulia na dodoma wine ya bariiiid Sasa Leo siyo siku ya kupasua kichwa kufikirisha Mambo ya maisha Leo unafikiria Mambo mtambuka,haya wote tujiulize hii nembo ya ikulu ilikuwa email huyu mbunifu akamvalisha mwanaume gauni huu si ndio kushabikia ushoga na kuutangaza huenda Watanzania wote na Mzee NYERERE tulikuwa hatujui.
View attachment 2050077
Pumbavu huna akili.
 
Salama wandugu
Leo ni jumapili tulivu kabisa baada ya ibada Sasa nimetulia na dodoma wine ya bariiiid Sasa Leo siyo siku ya kupasua kichwa kufikirisha Mambo ya maisha Leo unafikiria Mambo mtambuka,haya wote tujiulize hii nembo ya ikulu huyu mbunifu akamvalisha mwanaume gauni huu si ndio kushabikia ushoga na kuutangaza huenda Watanzania wote na Mzee NYERERE tulikuwa hatujui.
View attachment 2050077
Litakuwa pepo la ushoga linakusumbua wewe, siyo bure. Hilo vazi linaitwa "toga" na ni style ya mavazi ya Wamasai
 
Back
Top Bottom