Aliyebuni Nembo ya Taifa ya Bibi na Bwana aliwaza nini?

Aliyebuni Nembo ya Taifa ya Bibi na Bwana aliwaza nini?

JFMemba

Senior Member
Joined
Jun 28, 2021
Posts
134
Reaction score
247
Nembo za Taifa hubuniwa kwa lengo la kuwakilisha au kulitangaza Taifa ambapo kila Taifa lina nembo zake.

Nembo za mataifa huwa na vitu ndani yake kama vile mazao, milima, wanyama, n.k.

Nembo ya Taifa letu ya maarufu kama 'Bibi na Bwana' nayo ina vitu kadhaa ikijumuisha mazao, mlima, pembe za ndovu na binadamu wawili (jinsia ya me na ke)

Naomba kujuzwa aliyebuni nembo yetu alilenga nini kumuweka mwanamke aliye kifua wazi na mchirizi wa matiti unaonekana? Maana tunasema kwa maadili ya Taifa letu mwanamke akitembea kifua wazi kama yule wa kwenye nembo watasema hana maadili na atazodolewa sana ndiyo maana hata bungeni mliona kuna aliondolewa.

Sasa ndiyo kusema yule Bibi kwenye nembo anawakilisha utamaduni wa watanzania wa kuvaa vile au au alilenga nini? Kwanini hakumuweka awe na nguo inayomsitiri mwili wake? Au ndiyo vazi la Taifa?

Wajuzi tujuzeni

800px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.jpg
 
Nembo za Taifa hubuniwa kwa lengo la kuwakilisha au kulitangaza Taifa ambapo kila Taifa lina nembo zake.

Nembo za mataifa huwa na vitu ndani yake kama vile mazao, milima, wanyama, n.k

Nembo ya Taifa letu ya maarufu kama 'Bibi na Bwana' nayo ina vitu kadhaa ikijumuisha mazao, mlima, pembe za ndovu na binadamu wawili (jinsia ya me na ke)

Naomba kujuzwa aliyebuni nembo yetu alilenga nini kumuweka mwanamke aliye kifua wazi na mchirizi wa matiti unaonekana? Maana tunasema kwa maadili ya Taifa letu mwanamke akitembea kifua wazi kama yule wa kwenye nembo watasema hana maadili na atazodolewa sana ndiyo maana hata bungeni mliona kuna aliondolewa.

Sasa ndiyo kusema yule Bibi kwenye nembo anawakilisha utamaduni wa watanzania wa kuvaa vile au au alilenga nini? Kwanini hakumuweka awe na nguo inayomsitiri mwili wake? Au ndiyo vazi la Taifa?


Wajuzi tujuzeniView attachment 1854816
Mi napenda sana kifua cha huyo mdada
 
Sasa ndiyo kusema yule Bibi kwenye nembo anawakilisha utamaduni wa watanzania wa kuvaa vile au au alilenga nini? Kwanini hakumuweka awe na nguo inayomsitiri mwili wake? Au ndiyo vazi la Taifa?U

Hebu acha maneno ya siasa za kitoto. NI wazi hujui utamaduni wetu wa kuvaa, na ukitaka kuujua utamaduni wa kuvaa wa Tanzania nenda Makumbusho ukaone nyanya yako alivyokuwa akivaa, matako nje kafunika uchi tu.

Na katika utamaduni wetu wa kuvaa wewe ungeanza kufunikwa hiyo bamia yako ukiwa na miaka 12.
 
Naomba kujuzwa aliyebuni nembo yetu alilenga nini kumuweka mwanamke aliye kifua wazi na mchirizi wa matiti unaonekana? Maana tunasema kwa maadili ya Taifa letu mwanamke akitembea kifua wazi kama yule wa kwenye nembo watasema hana maadili na atazodolewa sana ndiyo maana hata bungeni mliona kuna aliondolewa.
Mbona hujaulizia hiyo skirt yake ina mpasuo mpaka juu
 
Nembo za Taifa hubuniwa kwa lengo la kuwakilisha au kulitangaza Taifa ambapo kila Taifa lina nembo zake.

Nembo za mataifa huwa na vitu ndani yake kama vile mazao, milima, wanyama, n.k

Nembo ya Taifa letu ya maarufu kama 'Bibi na Bwana' nayo ina vitu kadhaa ikijumuisha mazao, mlima, pembe za ndovu na binadamu wawili (jinsia ya me na ke)

Naomba kujuzwa aliyebuni nembo yetu alilenga nini kumuweka mwanamke aliye kifua wazi na mchirizi wa matiti unaonekana? Maana tunasema kwa maadili ya Taifa letu mwanamke akitembea kifua wazi kama yule wa kwenye nembo watasema hana maadili na atazodolewa sana ndiyo maana hata bungeni mliona kuna aliondolewa.

Sasa ndiyo kusema yule Bibi kwenye nembo anawakilisha utamaduni wa watanzania wa kuvaa vile au au alilenga nini? Kwanini hakumuweka awe na nguo inayomsitiri mwili wake? Au ndiyo vazi la Taifa?


Wajuzi tujuzeniView attachment 1854816
Kwani wewe ulikuwa unawaza nini mpaka kufikia huko?
 
Halafu angemuongezea hata kampododo kidogo SI unajua venye wa tz tunapenda mizigo huko background....ila jamani nyie Tuacheni utani hili linchi la kiboya yaani hamna ajira halafu yanatunyonya Kodi tubakie kupiga miayo
Jadili hoja mkuu
 
Nembo za Taifa hubuniwa kwa lengo la kuwakilisha au kulitangaza Taifa ambapo kila Taifa lina nembo zake.

Nembo za mataifa huwa na vitu ndani yake kama vile mazao, milima, wanyama, n.k

Nembo ya Taifa letu ya maarufu kama 'Bibi na Bwana' nayo ina vitu kadhaa ikijumuisha mazao, mlima, pembe za ndovu na binadamu wawili (jinsia ya me na ke)

Naomba kujuzwa aliyebuni nembo yetu alilenga nini kumuweka mwanamke aliye kifua wazi na mchirizi wa matiti unaonekana? Maana tunasema kwa maadili ya Taifa letu mwanamke akitembea kifua wazi kama yule wa kwenye nembo watasema hana maadili na atazodolewa sana ndiyo maana hata bungeni mliona kuna aliondolewa.

Sasa ndiyo kusema yule Bibi kwenye nembo anawakilisha utamaduni wa watanzania wa kuvaa vile au au alilenga nini? Kwanini hakumuweka awe na nguo inayomsitiri mwili wake? Au ndiyo vazi la Taifa?


Wajuzi tujuzeniView attachment 1854816
Mimi ni mchoraji.

Hii picha uliyotuwekea siyo rasmi bali imefanyiwa improvisation.
 
Kuna rafiki yangu hatumii kilevi chochote lakini anapenda kwenda maeneo ya club sana [emoji3][emoji3] Starehe yake kubwa ni kuwatazama wadada / wamama wanaovaa nusu uchi, akiwaona anadai ni burudani tosha kwake anarudi nyumbani kwa mama watoto wake roho kwatuuuuu!
 
Nembo za Taifa hubuniwa kwa lengo la kuwakilisha au kulitangaza Taifa ambapo kila Taifa lina nembo zake.

Nembo za mataifa huwa na vitu ndani yake kama vile mazao, milima, wanyama, n.k

Nembo ya Taifa letu ya maarufu kama 'Bibi na Bwana' nayo ina vitu kadhaa ikijumuisha mazao, mlima, pembe za ndovu na binadamu wawili (jinsia ya me na ke)

Naomba kujuzwa aliyebuni nembo yetu alilenga nini kumuweka mwanamke aliye kifua wazi na mchirizi wa matiti unaonekana? Maana tunasema kwa maadili ya Taifa letu mwanamke akitembea kifua wazi kama yule wa kwenye nembo watasema hana maadili na atazodolewa sana ndiyo maana hata bungeni mliona kuna aliondolewa.

Sasa ndiyo kusema yule Bibi kwenye nembo anawakilisha utamaduni wa watanzania wa kuvaa vile au au alilenga nini? Kwanini hakumuweka awe na nguo inayomsitiri mwili wake? Au ndiyo vazi la Taifa?


Wajuzi tujuzeniView attachment 1854816
Alikuwa na. Akili za marehemu jingaman aliyezikwa chato, maana jingaman alikuwa anawaza ngono tu ndio maana kila aliposimama barabarani kuongea na wanyonge aliropoka kauli za kingono ngono
"Mnataka mpanuliwe wapi"
"Nataka niongeze mke wa pili Zanzibar"
 
Hebu acha maneno ya siasa za kitoto. NI wazi hujui utamaduni wetu wa kuvaa, na ukitaka kuujua utamaduni wa kuvaa wa Tanzania nenda Makumbusho ukaone nyanya yako alivyokuwa akivaa, matako nje kafunika uchi tu.

Na katika utamaduni wetu wa kuvaa wewe ungeanza kufunikwa hiyo bamia yako ukiwa na miaka 12.
Kwa hiyo Mkuu wanaozungumzia kujistiri wanatupotisha kama Taifa?
 
Nembo za Taifa hubuniwa kwa lengo la kuwakilisha au kulitangaza Taifa ambapo kila Taifa lina nembo zake.

Nembo za mataifa huwa na vitu ndani yake kama vile mazao, milima, wanyama, n.k.

Nembo ya Taifa letu ya maarufu kama 'Bibi na Bwana' nayo ina vitu kadhaa ikijumuisha mazao, mlima, pembe za ndovu na binadamu wawili (jinsia ya me na ke)

Naomba kujuzwa aliyebuni nembo yetu alilenga nini kumuweka mwanamke aliye kifua wazi na mchirizi wa matiti unaonekana? Maana tunasema kwa maadili ya Taifa letu mwanamke akitembea kifua wazi kama yule wa kwenye nembo watasema hana maadili na atazodolewa sana ndiyo maana hata bungeni mliona kuna aliondolewa.

Sasa ndiyo kusema yule Bibi kwenye nembo anawakilisha utamaduni wa watanzania wa kuvaa vile au au alilenga nini? Kwanini hakumuweka awe na nguo inayomsitiri mwili wake? Au ndiyo vazi la Taifa?

Wajuzi tujuzeni

View attachment 1854816
Mi sikitiko langu huwa ni kwenye chura tu,


Hivi alifikiriaje mpaka kumnyima chura dada wa watu, ni Kama ilimchora huku akiwa na wivu dhidi yake.
 
Back
Top Bottom