Aliyebuni Nembo ya Taifa ya Bibi na Bwana aliwaza nini?

Aliyebuni Nembo ya Taifa ya Bibi na Bwana aliwaza nini?

Ikumbukwe katika mavazi tumepitia vipindi kadhaa katika historia hadi leo hii kwa bunifu tofauti tofauti za mavazi kulingana na utashi wa mwanadamu.

1:Ngozi/Magome ya Miti (Vibandiko Kuziba Sehemu Nyeti)
2:Kanzu (Mavazi ya Kimapokeo)
3:Kaptura/Suruali/Shati/Fulana/Gauni/Sketi nk (Ambayo ndiyo Mavazi ya Sasa baada ya kuwa Colonized)

Rejea hiyo pengine niitumie ktk kukurekebisha bandiko lako,Thou mavazi hayahalalishi jinsi ya mtu maana vyote vimekuja kwa utashi tu wa mwanadamu,Tofauti na TABIA kama TABIA (kama hio ya ushoga) Utasema mwanamke aliyevaa suruali nae ni nani,Najua utauliza kwahio kuvaa sketi kwa mwanaume ni sawa,Hahah laah hasha,Ni TAMADUNI Zitupazo mipaka na vile tumejikuta tumetenga hii vazi la KE hii vazi la ME.nk

By the way Kama ulizaliwa na nguo toka tumboni mwa Mama,Njoo umseme tena Mbunifu wa hii Logo na ushoga unaouzungumzia, JOKE.

NOTE.Usifanye mzaha na Nembo ya Taifa.
 
Salama wandugu
Leo ni jumapili tulivu kabisa baada ya ibada Sasa nimetulia na dodoma wine ya bariiiid Sasa Leo siyo siku ya kupasua kichwa kufikirisha Mambo ya maisha Leo unafikiria Mambo mtambuka,haya wote tujiulize hii nembo ya ikulu huyu mbunifu akamvalisha mwanaume gauni huu si ndio kushabikia ushoga na kuutangaza huenda Watanzania wote na Mzee NYERERE tulikuwa hatujui.
View attachment 2050077
Amevaa rubega hajavaa gauni
 
Salama wandugu
Leo ni jumapili tulivu kabisa baada ya ibada Sasa nimetulia na dodoma wine ya bariiiid Sasa Leo siyo siku ya kupasua kichwa kufikirisha Mambo ya maisha Leo unafikiria Mambo mtambuka,haya wote tujiulize hii nembo ya ikulu huyu mbunifu akamvalisha mwanaume gauni huu si ndio kushabikia ushoga na kuutangaza huenda Watanzania wote na Mzee NYERERE tulikuwa hatujui.
View attachment 2050077

Angalia babu zako walivaa nini?

Zile ngozi za Wanyama ni vigumu kuviweka kuwa suruali, shati l,suti tai.

Jamii karibu zote duniani zilikuwa zinavaa kama unavyoita gauni, sketi, koti.

Ushoga haukuwepo. Wakitaka sex ni chapchap wanapata. Ukifika miaka 14,16 unapewa mke. Hakutoshi unapewa mwingine.

Matatizo yoyote kijamii mnasaidiana. Pesa, umaarufu, haikuwa kila kitu.

Muhimu ilikuwa jamii.
 
tazama vizuri utaona utofauti wa mavazi hayo ukiacha rangi.
 
Salama wandugu
Leo ni jumapili tulivu kabisa baada ya ibada Sasa nimetulia na dodoma wine ya bariiiid Sasa Leo siyo siku ya kupasua kichwa kufikirisha Mambo ya maisha Leo unafikiria Mambo mtambuka,haya wote tujiulize hii nembo ya ikulu huyu mbunifu akamvalisha mwanaume gauni huu si ndio kushabikia ushoga na kuutangaza huenda Watanzania wote na Mzee NYERERE tulikuwa hatujui.
View attachment 2050077
Hahahaaaa
Nyie akina Kabwili nyie. Haya sawa inawasapoti nyie piga vigelegele kwa kusapotiwa na serikali.
 
Gauni tena!!'',hii nchi ina watu,,naghaili siendi tena Burundi.

Picha za Yesu, Mohamed, Wafalme wote wa Zamani walivaa nini? Vazi gani inaloliita la kiume kwa sasa. Suruali, shati.

Kanzu ina tofauti gani na hili vazi. Hadi sana viongozi wa Wakubwa Kiislamu, Wafalme, viongozi wa RC kuanzia Pope, Maaskofu, Padri, wote wanavaa haya mavazi.

Muulize Babu yako.

Muhimu pia kusoma historia yako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]daaa nimecheka sana hii thread,Mzee au Dodoma wine ishapanda kichwani??
 
Salama wandugu
Leo ni jumapili tulivu kabisa baada ya ibada Sasa nimetulia na dodoma wine ya bariiiid Sasa Leo siyo siku ya kupasua kichwa kufikirisha Mambo ya maisha Leo unafikiria Mambo mtambuka,haya wote tujiulize hii nembo ya ikulu huyu mbunifu akamvalisha mwanaume gauni huu si ndio kushabikia ushoga na kuutangaza huenda Watanzania wote na Mzee NYERERE tulikuwa hatujui.
View attachment 2050077
Ni nembo ya Taifa mkuu sio Ikulu
 
Hili ni gauni kweli ila kuhusisha na ushoga ni irrelevant


1639933641713.png
 
Salama wandugu
Leo ni jumapili tulivu kabisa baada ya ibada Sasa nimetulia na dodoma wine ya bariiiid Sasa Leo siyo siku ya kupasua kichwa kufikirisha Mambo ya maisha Leo unafikiria Mambo mtambuka,haya wote tujiulize hii nembo ya ikulu huyu mbunifu akamvalisha mwanaume gauni huu si ndio kushabikia ushoga na kuutangaza huenda Watanzania wote na Mzee NYERERE tulikuwa hatujui.
View attachment 2050077
Siyo kosa lako ukuuliza kutaka kujua ila umeuliza kwa dhiaka na kejeli...ila kwakuwa sijui umri wako na kabila lako basi ni dhahiri hujui tamaduni za makabila ya mwambao hivyo jitahidi kuuliza kabla yakuropoka upuuzi Mwambao nguo zao ni shaka na imeshonwa kama mshono wa debe hivyo ndiyo yalikuwa mavazi na unaweka mtandio. Nimejitahidi kukuelimisha maana kuna msemo mmoja ukimuelimisha mpumbavu mmoja ataelimisha wajinga wengine.
 
Back
Top Bottom