Unatoa lawama na kukosoa huku ukiwa huna taarifa sahihi za mfumo.Unapo Fanya uchambuzi wa mfumo gani utumike (Identification Code) lazima uhakikishe vitu hivi unavizingati.
1. Mfumo wako unataka uwe na muda gani bila namba kujirudia.
2. Mfumo wako lazima ubebe taarifa , mfano nikisoma namba ya gari nipate taarifa Fulani za gari, sisi hapa utakuta rangi ndio zinatumika.
na mengine mengi.
nikianza na hill kwanza , nimeshtuka sana kuona hadi sasa tumesha anza kutumia namba za DKX XXX INA maana miaka michache ijayo itabidi tunaanze upya maana namba zitakua zote zimesha tumika.
Je aliyependekeza mfumo wa namba za magari alikua anafikiria jambo hili?
Ukiingiza namba kwenye system inasoma Tin,na taarifa zote za mmiliki pamoja na MV licence.
Ambao wapo kwenye mfumo wa usalama,ndio wana access ya hiyo program,huwezi kupewa wewe au ulitaka namba zikuoneshe kabisa kuwa hii ni gari ya fulani?