Aliyebuni mfumo wa namba za Magari alikosea

Aliyebuni mfumo wa namba za Magari alikosea

Wewe umekosa lakuongea, kumbuka magari yalikuwepo mengi sana nayalikua na namba tz, sasa yamebadilishwa yamekua t. Nchi nzima na tukamaliza t,a, sasa tuko d, maana yake yakiongezeka magazi idadi kama tuyiyonayo tanzania bara tutafika f. Lini tutamaliza??
 
Ushauri mzuri sana kwa serikali toka kwa mdau aliyependekeza namba iwe angalau na herufi ya kuonyesha ni ya mkoa gani.mm mtazamo wangu uliopo upo vizuri tu naona jumuiya ya Afrika Mashariki walikubaliana kwani hata kenya,Burundi,Uganda,Rwanda nao zimeanza herufi ya kwanza ya jina la nchi.hii pia mtu anaweza sajili popote mfano anaweza ingizia mpaka wa Horohoro na kusajili na kuliketa Dar kibiashara.wasiwasi wangu kuna baadhi ya mikoa hata wakigawa bure namba hazitopata wateja
 
Wewe umekosa lakuongea, kumbuka magari yalikuwepo mengi sana nayalikua na namba tz, sasa yamebadilishwa yamekua t. Nchi nzima na tukamaliza t,a, sasa tuko d, maana yake yakiongezeka magazi idadi kama tuyiyonayo tanzania bara tutafika f. Lini tutamaliza??
mkuu mfumo wowote ambao unamwisho haufai hata kama utaisha baada ya miaka mil 3.
 
T.(1-999 )AA(A-Z) =25,974
T. (1-999)A(A-Z)A=25,974
T. (1-999)ZZZ........=25,974x2x26
=1,350,648 Nos.
Mfano kila mwaka zikisajiliwa gari 5000Nos. = ni Sawa na takribani miaka 250.
Hivyo 2017+250=2267 ijayo ili tupate T999ZZZ.
Nadhani ubishi utakuwa umeishia hapa
 
Angalau wewe unaongelea permutation wengine wanakurupuka tu hata hawaelewi hoja ya msingi hapa, safi sana mtu wa probability!
 
Piki piki zilitengenishwa kuepusha kasi ya matumizi ya namba vyombo vya . Pamoja na hayo mpaka namba hizo zifike mwisho ni.muda mrefu sana maana walianzai na AAA mwaka.2003 na sasa tuko D tu. Bado tuko mballi sana.Pia hakuna mfupo ambao utakaa maisha milele ndiyo maana huwa kuna maboresho. Mfano hata kuweka majina ilikuwa hamna.
 
Unapo Fanya uchambuzi wa mfumo gani utumike (Identification Code) lazima uhakikishe vitu hivi unavizingati.

1. Mfumo wako unataka uwe na muda gani bila namba kujirudia.

2. Mfumo wako lazima ubebe taarifa , mfano nikisoma namba ya gari nipate taarifa Fulani za gari, sisi hapa utakuta rangi ndio zinatumika.

na mengine mengi.

nikianza na hill kwanza , nimeshtuka sana kuona hadi sasa tumesha anza kutumia namba za DKX XXX INA maana miaka michache ijayo itabidi tunaanze upya maana namba zitakua zote zimesha tumika.

Je aliyependekeza mfumo wa namba za magari alikua anafikiria jambo hili?
Hakukosea Ila wewe ndio uwezo wako wa kufikiri mdogo, ikifika mwisho watakuja na mfumo mwingine, sio mwisho wa dunia maaan.
 
Kwanza ziishe namba za vocha za simu,ndio namba za magari nazo zitaisha!
 
kwanza una gari usije tuanzie hapo kabla ya mengine [HASHTAG]#ndugu[/HASHTAG] yangu namba zile ni sawa na vocha yani unaweza kuta kuna dda,ddb,ddc na kuendelea then wanamix so kujirudia ndugu si mchezo uoni a e i o u zinavyozalisha maneno chungu nzima na yanatofautiana mengine heruf tu
 
ngoja injinia nifanye hesabu nijue magari mangapi yatasajiliwa mpaka kufikia zzz
 
Ukifanya calculations kwa zile tarakimu tatu ukichanyanya na herufi 3 unapata maelfu ya namba tofauti.
MFANO: T 123
ABC
Hizi ukizkcomand kwenye sytem ziwe random utapata namba nyingi mno ndugu
Ni kama vocha, tarakimu ziko kumi na kitu tu ila kila siku tunatumia milions za vocha na still hamna tatizo.
Duuh!! Akili zako[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] !!!
 
Hakukosea Ila wewe ndio uwezo wako wa kufikiri mdogo, ikifika mwisho watakuja na mfumo mwingine, sio mwisho wa dunia maaan.
tumia vizuri akili zako, utajua nini kinaongelewa
 
Let me implement my very limited knowledge of mathematics.
The format is T 999 XXX

Tuna possibility ya kuwa na namba 100 - 999. Sijawahi kuona T 099 XXX. I stand to be corrected.
Hivyo kimahesabu tuna namba tofauti 999 - 100 = 899

X stands for alphabetic characters except O and I -> 24 letters
Out of the 24 letters, 3 can be arranged in format XXX.
Kupata the total possible number of XXX arrangement ni 24*24*24
The result: 13,824 arrangements (from AAA to ZZZ)

Kwa kila namba kati ya 100-999 tuna combinations za herufi 13,824.
Kwahiyo total number of T 999 XXX combinations ni 899 * 13,824 = 12,427,776

Hivyo basi, mfumo huu wa usajili unaweza kuhandle jumla ya vyombo 12,427,776 (Milioni kumi na mbili laki nne ishirini na saba elfu mia saba sabini na sita).

Tangu mfumo huu uanze kutumika mnamo mwaka 2005 tumekwisha exhaust combinations through T 999 DZZ (Assumption). Tujaribu kuangalia ni vyombo vingapi vimekwisha sajiliwa.

Arrangements kati ya AAA - DZZ. Hi ni A(AA-ZZ) B(AA-ZZ) C(AA-ZZ) D(AA-ZZ).
Kila (AA-ZZ) combo ina possibilities 24*24 = 576
Hivyo kwa A mpaka D ni A(552) + B(552) + C(552) + D(552) = 4 * 576 = 2,304
Jumla ya vyombo = 899 * 2304 = 2,071,296

Hivyo nasi, kuanzia T 100 AAA mpaka T 999 DZZ vyombo 2,071,296 vimekwisha sajiliwa. Mind you kuna pikipiki na bajaji zilizokuwa zinakimbiza sana namba.
Hii ina maana kuanzia T 100 EAA mpaka mwisho wa mfumo, magari 10,356,480 yanaweza kusajiliwa.

Imetuchukua miaka 12 kusajili vyombo 2,071,296. Je, tukitoa pikipiki na bajaji, itatuchukua miaka mingapi kusajili vyombo 10,356,480?? Data zaidi zinatakiwa. Kama kuna mwenye gari DAA atuambie ilisajiliwa mwaka gani tujue ni muda gani umepita.

N.B Wataalamu wa hesabu tafadhalini sahihisheni logic yangu. Jibu hili sio definitive.
 
Back
Top Bottom