Ukifanya calculations kwa zile tarakimu tatu ukichanyanya na herufi 3 unapata maelfu ya namba tofauti.
MFANO: T 123
ABC
Hizi ukizkcomand kwenye sytem ziwe random utapata namba nyingi mno ndugu
Ni kama vocha, tarakimu ziko kumi na kitu tu ila kila siku tunatumia milions za vocha na still hamna tatizo.
Sijamanisha kuitoa T ,angalie vizuri na maelezo yanguT inamaanisha tanzania ukitoa itachanganya kujulikana ni ya nchi gani angalia namba za kenya malawa n.k zinaanza na herufi ya nchi zao
Yeah.. permutation and combination zinahusika hapoMuweka mada atusaidie permutation yake, ni magari mangapi yatasajiliwa mpaka tufike T999ZZZ
I inafanana na 1 (moja).Anae jua atujuze, DH zikahamia DJ, why hakuna DI
I na O hazitumiki as zinafanana na 1 na 0 kiurahisi, hivyo kufanya kusomeka kuwa shida. Huwezi kuona T 204 DOAAnae jua atujuze, DH zikahamia DJ, why hakuna DI
DFP washafika mwisho..Yaan tuko kwenye D saiv... Mpaka kuja kufika Z n leo??? .. ha hazitofika mwsho kamwe... tunaweza anza na AAAA tena
Umuhimu wa mtoa mada kama ameeleweka vizuri ilikuwa ni juu ya kuitimbua gari hii imesajiliwa mkoa gani, tusingefanya mambo ya ujumla kwa kila gari lianze na T kwa maana ya Tanzania tuu . kwenye mambo ya kiusalama na mengineyo hatufanyi mambo ya kiujumla tuu mfano wenzetu nchi za ulaya kwakuwa wapo kwenye European Union gari zinaanza na nchi, kisha jimbo ambako gari imesajiliwa ona namba ya gari hii (DE) HA 360 BBE, ikimaanisha DE=Deutsschland ,HA =Hamburg kisha 360 BBE.T inamaanisha tanzania ukitoa itachanganya kujulikana ni ya nchi gani angalia namba za kenya malawa n.k zinaanza na herufi ya nchi zao
Mkuu mi ninazo za 1998 hadi zimeanza kufutika nambaHizi vocha hawajawahi kurudia ? Maana zile za mwanzo nnazo bado za mwaka 2003 ninazo
Nadhani unajichanganya tuUnapo Fanya uchambuzi wa mfumo gani utumike (Identification Code) lazima uhakikishe vitu hivi unavizingati.
1. Mfumo wako unataka uwe na muda gani bila namba kujirudia.
2. Mfumo wako lazima ubebe taarifa , mfano nikisoma namba ya gari nipate taarifa Fulani za gari, sisi hapa utakuta rangi ndio zinatumika.
na mengine mengi.
nikianza na hill kwanza , nimeshtuka sana kuona hadi sasa tumesha anza kutumia namba za DKX XXX INA maana miaka michache ijayo itabidi tunaanze upya maana namba zitakua zote zimesha tumika.
Je aliyependekeza mfumo wa namba za magari alikua anafikiria jambo hili?
sio lazima kufuata hiloUmuhimu wa mtoa mada kama ameeleweka vizuri ilikuwa ni juu ya kuitimbua gari hii imesajiliwa mkoa gani, tusingefanya mambo ya ujumla kwa kila gari lianze na T kwa maana ya Tanzania tuu . kwenye mambo ya kiusalama na mengineyo hatufanyi mambo ya kiujumla tuu mfano wenzetu nchi za ulaya kwakuwa wapo kwenye European Union gari zinaanza na nchi, kisha jimbo ambako gari imesajiliwa ona namba ya gari hii (DE) HA 360 BBE, ikimaanisha DE=Deutsschland ,HA =Hamburg kisha 360 BBE.