Hilo la region ID lingekuwa la muhimu sana. Japo kusema kweli hizi namba zitachukua karibia karne moja kuisha, lakini registration ingehusisha region codes. Sishauri kuweka majina kama MO-Morogoro, DA-Dar es salaam etc, mimi nadhani wangeweka codes kwa regions, mf. xxT101xxx. Tuna mikoa haifiki 40, hivyo hizo x mbili za mwanzo zinakuwa regional codes, then zingine kama kawaida. 11 T 101 DKA. Hiyo 11 iwe regional code kama Dar.
Hata hivyo, hii system yaweza kufika 2080's huko ambapo wengi tutakuwa tumekata umeme, itakuwa kizazi kingine kabisa.