Ukiwasha TV unakutana matangazo umchague mwenyekiti wa ccm, radio hivyo hivyo.
Huyu mazeri anahangaika sana mpk kero, sasa hapo hana mgombea wa upinzani yupo peke yake. Angekuwepo sasa? Kodi za wananchi zinatumika vibaya sana
Ukiwasha TV unakutana matangazo umchague mwenyekiti wa ccm, radio hivyo hivyo.
Huyu mazeri anahangaika sana mpk kero, sasa hapo hana mgombea wa upinzani yupo peke yake. Angekuwepo sasa? Kodi za wananchi zinatumika vibaya sana
Kuna mkoa mmoja hivi, boda boda na bajaji kipindi anakuja mwenyekiti, walikuwa wanazunguka mitaani kupeperusha bendera za kijani.
Jioni bodaboda walikuwa zaidi ya 200, wote walipewa 20,000 cash hapo bado bajaji. Huyu mazeri katoa baiskeli, pikipiki na nguo. Kodi inatumika vibaya