Basi nikafikiri ni Idd Amini Dada
Kweli kabisa donlucchese huyo ni princess Diana.Lakini hiyo ya mimba ya sijui Dodi na nini, ni maconspiracy theories tu.Hayati princess Diana, waingereza walimuua wenyewe because at the time of death alikua na mimba ya yule mwarabu na waingereza hawakutaka damu ya kiarÀbu iingie kwenye familia ya kifalme!
Nani huyu??
Au Wema Sepetu??
Princess diana....
Kweli kabisa donlucchese huyo ni princess Diana.Lakini hiyo ya mimba ya sijui Dodi na nini, ni maconspiracy theories tu.
Kashaolewa?
Mama Indrah Ghandi......
We ndo kilaza wa hii pepa,huyo indrah ghand wamjua au wamsikia tuu,usilete umbumbumbu wako huku