Asante sana Ukweli1 kwa Dimension murua uliyotupa kuhusiana na huyu mama!alikuwa na mpango wa kushiriki katika harakati za kupambana na makali ya AIDS nchi za kusini mwa afrika na alifanikiwa kukutana na Tata Madiba kuongelea hilo, alifariki kabla hajaanza, miaka mitano baada ya kifo chake Mandela alitembelea kaburi lake.
View attachment 125627View attachment 125628
Another wonderful knowledge of Lady Diana family tree Songoro. Thanks!aliyekuwa Hawara wa Dodi al Fayeed, Mama Mzaz wa Prince Williams, aliyekuwa Mke wa Prince Charles aliyekuwa Mkwe wa Queen Elizabeth.Ndie Mwanamke anaeshikilia Record ya Kupigwa Picha nyingi zaid Duniani!
Hapana Kiboko!Aliyetoa hilo jibu si kilaza wala nini.Sura ya huyu dada imeshasumbua baadhi ya wachunguzi wa maumbile.Baadhi ya wachunguzi wanauliza hivi: Kwa nini Diana ana sura ya kihindi?We ndo kilaza wa hii pepa,huyo indrah ghand wamjua au wamsikia tuu,usilete umbumbumbu wako huku
Asante sana Sikonge, umenikumbusha kitu kinachozungumzwa chinichini ambacho mimi binafsi ntakifanyia uchunguzi. Kuna watu wanauliza kwa nini Lady Diana ana sura inayoelekea uhindini? Umepata kuisikia hiyo?