Alipata mimba, ametoa kisha akaachwaa.

Alipata mimba, ametoa kisha akaachwaa.

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
Mwaka huu officially nitapewa zawadi ya kuwa mtoa ushauri wa mwaka. Kwa jinsi ya ongozeko la matatizo katika mahusiano na kuweza kuwatatulia matatizo yao. Mwezi huu tu wa January nimetatua matatizo ya mahusiano 10 na yapo powa kabisa. Binafsi ninaogopa na nina wasiwasi zawaidi itakuja kwangu tu.

Moja ya cases inawahusu Clemence na Pendo (Siyo majina
yao ya ukweli). Walikutana, wakaanza kama
marafiki, wiki kupita Clemence akamwambimbia jinsi gani anamzimikia. Pendo kama mjuavyo wasichana akawa ajaelewa somo kwa haraka. Baada ya shinikizo kubwa miezi mitatu Pendo alimkubali Clemence. Kama mjuavyo sex ikatake place, Pendo akapata mimba. Pendo alikubali kutunza mimba ila Clemece ni mwanafunzi wa mwaka wa Mwisho Udom akuwa tayari akamwambia Pendo atoe mimba. Pendo ikafikia sehemu akakubali na kutoa mimba.

Wiki 4 baada ya kutoa mimba penzi la Clemence kwa Pendo lilifia na kuwa baridi. Alimpata msichana mwingine na peupe bila ya kupepesa macho akamwambia Pendo it is over. Pendo aliumia sana deep kabisa ya moyo wake, akuwa tayari kuiachia nafasi yake kwa msichana mwingine. Aliendelea kumtembelea Clemence akitumaini labda atabadilika, mambo yakaendelea kuwa mabaya kila kukicha. Pamoja na kuwa alikuwa akimuona msichana mwingine na Clemence akujali hilo.

Kwa upande wangu,
Kwa kweli sikumuelewa Pendo, Ni mpumbafu? Au ana moyo wa kupenda sana? Au unafikiri kulazimisha kwake mwisho wa siku kutamlipa? Je unafikira alitakiwa apate mwanaume sahihi kwake?

Ndugu zangu wana MMU, ushauri gani ungempatia msichana huyu?

 
Umetatua mahusiano kumi katika mda mfupi, wewe lazima utakuwa kipande cha keki.

Ukitatua la kwangu, utapata zawadi.
 
Dhambi aliyotenda ya kutoa mimba jibu lake ni hiyo laana ya kuachwa, ilikuwaje ajitanue apewe mimba kizembe tu bia hata ya kujiandaa? Yeye alinogewa kugegedwa peku hivyo asilalamike kuachwa,
 
Dhambi aliyotenda ya kutoa mimba jibu lake ni hiyo laana ya kuachwa, ilikuwaje ajitanue apewe mimba kizembe tu bia hata ya kujiandaa? Yeye alinogewa kugegedwa peku hivyo asilalamike kuachwa,

hiyo ni dhambi ya wote, iweje huyo bwana amwage mbegu zake hovyo hovyo? alishindwa vipi kujizuia. kwanini huyo mwanaume asimuongoze pendo katika kudhibiti mimba zisizotarajiwa ukizingatia kuwa amemmzidi elimu pendo hivyo atakuwa na uelewe zaidi!!!
 
hana mpango wowote wa kujiendeleza kielimu? anaishi na nani ndugu au wazazi?

Anaishi na mjomba wake, wazazi wake wapo Bunda. Anafikiria kwanza apate kazi kwa level ya elimu aliyo nayo then ajiendeleze kwa kuanza na Certificate ya BA. Kwa sasa nimempa kimemo akamcheki mtu fulani hivi hoteli moja nyota tano mybe ataweza pata ajira.

 
dhambi aliyotenda ya kutoa mimba jibu lake ni hiyo laana ya kuachwa, ilikuwaje ajitanue apewe mimba kizembe tu bia hata ya kujiandaa? Yeye alinogewa kugegedwa peku hivyo asilalamike kuachwa,

hiyo mimba iliingia yenyewe!!!!!!!!!!!
 
Ila mwisho wa siku sie wanawake ndio huwa tunaishia kuwa victims.........

Ni bora kujua nini unataka katika maisha
 
Kwani wewe mtu akija pekupeku huwezi kukataa? au tatizo huwa hamna kauli? Lakini mbona mkiwa mnaongea mnajiona wajanja iweje mkifika kitandani mzubae? Na siyo kila mwanaume atakuuliza hali yako ya mzunguko wa hedhi wengi wao elimu ya uzazi hawafuatiliii hivyo ni jukumu lenu kuwa makini!

hiyo ni dhambi ya wote, iweje huyo bwana amwage mbegu zake hovyo hovyo? alishindwa vipi kujizuia. kwanini huyo mwanaume asimuongoze pendo katika kudhibiti mimba zisizotarajiwa ukizingatia kuwa amemmzidi elimu pendo hivyo atakuwa na uelewe zaidi!!!
 
Fikiri kabla ya kutenda Mapenzi ya vijana hayo walitamaniana pasipo malengo
 
Huyo mwanaume ni tapeli wa mapenzi bd anahangaika na dunia kumbembeleza ni kujidhalilisha nakumuongezea kiburi amwache kama hawezi akae mbali na huyo mwanaume asimuone kbs
 
Anaishi na mjomba wake, wazazi wake wapo Bunda. Anafikiria kwanza apate kazi kwa level ya elimu aliyo nayo then ajiendeleze kwa kuanza na Certificate ya BA. Kwa sasa nimempa kimemo akamcheki mtu fulani hivi hoteli moja nyota tano mybe ataweza pata ajira.


umefanya vema kwamtoro.nafikiri pendo anahitaji shughuli ya kumkeep busy kwa sasa ili angalau asahau haya mapito. wakati anaendelea kutafta kazi anaweza hata jifunza course fupi fupi kama kozi za computer hivi. vipi wazazi wake au anko hana uwezo wa kumuendeleza kielimu au hajawaambia kama ana mpango wa kuendelea kubukua?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom