Kuna watu wana vituko kabisa. Yaani Kuna Jamaa mmoja tulikutane naye hapa Hapa JF baada ya kuomba msaada jinsi gani Ninaweza kurudisha ex wangu. Jamaa alinifata inbox kunipa ushauri eti mwanamke halazimishwi. Eti achana naye
Dah nikaona Huyu Jamaa anafaa saana kuwa rafiki yangu Kweli tulikwenda mpaka Whatsapp tukawa marafiki. Cha ajabu Jamaa siku hizi ananiomba ushauri eti yeye Na mpenzi wake mausiano yamepata pacha Sasa Jamaa anajaribu kulazimisha mtoto eti mtoto arudi lakini demu kagoma ndo nimekuja kutambua dah Kuna watu ambao wanajiamini mbele za watu ila wakiwa ndani wanalia kama watoto wadogo.
I'm sorry ndugu yangu sijataja jina lako HAPA ila najua upo nataka hii iwe Funzo kwa wengine mapenzi yanauma bwana.
Dah nikaona Huyu Jamaa anafaa saana kuwa rafiki yangu Kweli tulikwenda mpaka Whatsapp tukawa marafiki. Cha ajabu Jamaa siku hizi ananiomba ushauri eti yeye Na mpenzi wake mausiano yamepata pacha Sasa Jamaa anajaribu kulazimisha mtoto eti mtoto arudi lakini demu kagoma ndo nimekuja kutambua dah Kuna watu ambao wanajiamini mbele za watu ila wakiwa ndani wanalia kama watoto wadogo.
I'm sorry ndugu yangu sijataja jina lako HAPA ila najua upo nataka hii iwe Funzo kwa wengine mapenzi yanauma bwana.