Milestone
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 379
- 407
Alikuwa ni binti aliyelelewa katika familia yenye maadili , alikuwa ni binti mtulivu na mwenye msimamo positive juu ya maisha yake ! Wanaume wengi walimwinda lakn hawakufanikiwa kumpata ila mimi ni moja ya wa2 waliofanikiwa kumpata na nilijiona mwenye bahati sana ! Tulipendana sana. Siku ambayo sitakuja kuisahau ni pale nilipomshuhudia akigegedwa na wanaume watatu ambao nao walikuwa ni ndugu zake wanaokaa nyumba moja na pale ndipo nilipoamini wanawake ni wanafiki na nawachukia mpka leo