mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 5,626
- 7,402
Dada Kapeace Hukunielewa Hapo, Mimi Nilikua Nacheka Uliposema, Mtu Akiamua Kujitoa Ufahamu, Sijakusema WeweYani wanaume hampatani na mwanamke anaejiamini, mnaumia sana, poleni
PeriodAkuna urafiki kati ya simba na swala labda simba mzee
Kumbwe swala sio kujiheshimu,ila ni kwa sababu huna hisia nae ? wanawake bwana,kwahyo kama unahisia nae na anataka mzigo hata kama sio bwana ako anakula.Bora mtu akuombe unaweza mwambia kistarabu ndio au hapana.
Ety jitu linalazimisha alf sio bwana angu na sikuwai kufikilia.
Ndiyo maana yakeK
Kumbwe swala sio kujiheshimu,ila ni kwa sababu huna hisia nae ? wanawake bwana,kwahyo kama unahisia nae na anataka mzigo hata kama sio bwana ako anakula.
Ishi huyu naeK
Kumbwe swala sio kujiheshimu,ila ni kwa sababu huna hisia nae ? wanawake bwana,kwahyo kama unahisia nae na anataka mzigo hata kama sio bwana ako anakula.
Marafiki tulionao wanatoshaWanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani.
Wewe ndio umeongea safi sana,usipokula cha mtu hata kuleta mada za kukutaka itakuwa ngumu sana,na mwanume atakuelewa hawezi kukusumbua kabisa,maana hakupati kwenye loloteMimi ni mmoja ya wanawake nayepigia kelele, wadada kama humtaki mtu usile vyake. Mimi kama sikutaki hutopata hata muda wa kuendelea kuwasiliana.
Achana na muda wako wala hela zako, hatutafika huko. Sijakuelewa nakata mawasiliano nawewe. Sitatumia senti 5 yako nyekundu.
sasa huko katika kusaidiana kwenye shida na yeye shida yake ni penziMmhhh, kwahiyo mfano ni staff member, au mme wa ndg yako, au jirani yako, hawezi kuja kwako kukutembelea na mkasaidiana kwenye shida hadi muwe wapenzi?
Nilichopewa si sanamu la Michelin kwamba kila mtu atataka aone linafanana vip.