msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,761
- 5,877
Niaje wana JF,
Mwana wenu karudi tena. Kama ilivokua kwa wimbo wa Mwana, JF ndo ilikua ya kwanza kuupata kupitia mimi basi nimeona nisiwe mchoyo niwape tena huu wa Chekecha Cheketua..
Nimeusikiliza huu wimbo kama Wiki mbili hivi nimegundua ni sheedah nyingine hapa mjini..
Kwa taarifa tu ni kwamba, Alikiba atazidi kukimbiza kwa sababu ni msanii pekee mkubwa wa TZ ambaye bado anaimba mziki wa asili ya Bongofleva na sio ule WesternAfricaFleva (Naija na Ghana)..
Wakati wasanii wengi kwa sasa wakiiga vibwagizo vya Nigeria kama vile 'chai', 'sii', yeye akaona awe mbunifu na kubuni kibwagizo chake mwenyewe ambacho kwa sauti yake tamu hakuna msanii mwngne anaweza kukiiga 'yooo'..
Baada ya wimbo wa 'Mwana', kuna nyimbo mbili (HELA na WIFE WA DUNIA) za Alikiba zilichuja na kuwachanganya watu wakadhani ni official release wakati sio hivyo..
Nisiongee sana..
HERE IS ALI's NEW FLAGSHIP SONG.
Mwana wenu karudi tena. Kama ilivokua kwa wimbo wa Mwana, JF ndo ilikua ya kwanza kuupata kupitia mimi basi nimeona nisiwe mchoyo niwape tena huu wa Chekecha Cheketua..
Nimeusikiliza huu wimbo kama Wiki mbili hivi nimegundua ni sheedah nyingine hapa mjini..
Kwa taarifa tu ni kwamba, Alikiba atazidi kukimbiza kwa sababu ni msanii pekee mkubwa wa TZ ambaye bado anaimba mziki wa asili ya Bongofleva na sio ule WesternAfricaFleva (Naija na Ghana)..
Wakati wasanii wengi kwa sasa wakiiga vibwagizo vya Nigeria kama vile 'chai', 'sii', yeye akaona awe mbunifu na kubuni kibwagizo chake mwenyewe ambacho kwa sauti yake tamu hakuna msanii mwngne anaweza kukiiga 'yooo'..
Baada ya wimbo wa 'Mwana', kuna nyimbo mbili (HELA na WIFE WA DUNIA) za Alikiba zilichuja na kuwachanganya watu wakadhani ni official release wakati sio hivyo..
Nisiongee sana..
HERE IS ALI's NEW FLAGSHIP SONG.
Huu hapa
Last edited by a moderator: