Alikataa nisimuoe kisa ualimu

Alikataa nisimuoe kisa ualimu

hii kwa kitaalam tunaita counter attack, na huwa haiji hivihivi inakuwa slowly planned na tunaweza ifananisha na movement of a Russian locomotive train ambayo huwa inaaza kumove slowly then ainachange pace suddenly na kupiga counter attack...... kwako Jesse
 
hii kwa kitaalam tunaita counter attack, na huwa haiji hivihivi inakuwa slowly planned na tunaweza ifananisha na movement of a Russian locomotive train ambayo huwa inaaza kumove slowly then ainachange pace suddenly na kupiga counter attack...... kwako Jesse
Football terminologies
Umeniacha
 
Unaweza ukawa bado mvulana, ungekuwa mwanaume ungeshapata jibu
 
Miaka kumi iliyopita yani 2009 niligraduate bachelor of Education in Arts UDSM nilikuwa na mpenzi wangu aliyekuwa anaitwa Rechael yeye alikuwa anasoma Bachelor of Tax .. IFM .
Hakika tulipendana na kuendana sana ila alikuwa sister duu sana hakupenda niseme kuwa mimi ni mwalimu by professional eti nitamtia aibu kwa marafiki zake.

Baada ya sisi wote kuhitimu sikumaliza hata mwezi nikapata kazi kufundisha St Anton mbagala na nilikuwa napata take home 700k kwa mwezi huku yeye akiwa bado anahaha kutafuta ajira but haikuwa issue nilimpa kila alichokitaka kadri ya uwezo wangu nikapanga nimuoe.

Kumwambia nimuoe akagoma eti hawezi kuolewa na mwalimu aina yeyote ni aibu kubwa sana kwake na familia yake sio siri niliumia sana but kwakuwa mimi sipendi fake love nikaamua bora tuachane.

Ktk pitapita zangu nikakutana na mtoto Glory ambaye alikuwa anasoma KCMC bachelor of Medicine akanipenda kweli na Inshaalah nilimuoa na mpaka sasa ni mke wangu na tumezaa watoto wawili.

Huwezi amini ile dharau ya Rechael ilinifanya nirudi shule kusoma zaidi na sasa Alhamdulillah nimefika sehemu nafanya kazi nzuri zaidi kwa maslahi zaidi huku nikiwa na miradi kibao hapa mjini ikiwemo uber, bodaboda, maduka etc.

Leo ktk pitapita zangu mitandaoni nikakutana na friend request kucomfirm kumbe ni Rechael akiniuliza maswali kibao na kunilaumu eti yeye ilikuwa ni ujana na ujinga tu tu hivyo haikuwa akili yake akaomba nimsamehe sana kwani bado ananipenda sana.

Nikamwambia siunajua kuwa nina mke sasa kajibu ndio ila yeye hajali na hawezi kubali kunitoa moyoni ni utoto tu hivyo yupo tayari nimuoe mke wa pili nikakumbuka wimbo wa "barua" ya Bushoke aliposema "kumpenda bado ninampenda msemakweli mpenzi wa Mungu" ila ninachofikiria ni mke wangu wa sasa.

Nimuoe mke wa pili au nimfanye outside chick hizo ni option nilizojipa coz bado ninampenda ukizingatia ni mtoto wa kiislamu full maadili bikra yenyewe kikombe nimekidondosha mimi kikavunjika!
Ila je ananipenda tu nikiwa na hadhi je nikiporomoka itakuwaje mana mshika mawili moja humponyoka au kukosa yote.

Nishaurini wadau ila naomba ushauri kutoka wanajf ambao atleast wana 30 yrs na kuendelea mana jf ya sikuhizi utoto mwingi
Mtoto wa kiislam eh aliyekutosa kisa status duh na umesoma vizur kabisa alafu unakuja kuomba ushauri kwa issue ndogo kama hii. Sisi tupo usisahau mrejesho mana nshajue ulichoamua
 
Mtoto wa kiislam eh aliyekutosa kisa status duh na umesoma vizur kabisa alafu unakuja kuomba ushauri kwa issue ndogo kama hii. Sisi tupo usisahau mrejesho mana nshajue ulichoamua
Kama ushaelewa basi pita kulee
 
Nimuoe mke wa pili au nimfanye outside chick hizo ni option nilizojipa coz bado ninampenda ukizingatia ni mtoto wa kiislamu full maadili bikra yenyewe kikombe nimekidondosha mimi kikavunjika!
Ila je ananipenda tu nikiwa na hadhi je nikiporomoka itakuwaje mana mshika mawili moja humponyoka au kukosa yote.

Nishaurini wadau ila naomba ushauri kutoka wanajf ambao atleast wana 30 yrs na kuendelea mana jf ya sikuhizi utoto mwingi
[/QUOTE]
ANAKUPENDA UKIWA UNA HADHI!HAKUNA CHA LOVE WALA MAMA NA LOVE.ACHANA NAE..SANASANA UTALETA UHASAMA KWENYE FAMILIA YAKO.NA NUKSI ZAKE ZOTE ZITAHAMIA KWENU.UNAHAKIKA ANAPENDA KUKUONA UMEFANIKIWA?KUMBUKA SHE IS OVER USED PRODUCT.BAKI NJIA KUU.
 
Mabinti wengi wa Tanzania wanadharau sana Waalimu...mwisho wa siku utawaonea huruma mabinti hao ikiwa umri umesogea na hawana wa kuwaoa.
 
Miaka kumi iliyopita yani 2009 niligraduate bachelor of Education in Arts UDSM nilikuwa na mpenzi wangu aliyekuwa anaitwa Rechael yeye alikuwa anasoma Bachelor of Tax .. IFM .
Hakika tulipendana na kuendana sana ila alikuwa sister duu sana hakupenda niseme kuwa mimi ni mwalimu by professional eti nitamtia aibu kwa marafiki zake.

Baada ya sisi wote kuhitimu sikumaliza hata mwezi nikapata kazi kufundisha St Anton mbagala na nilikuwa napata take home 700k kwa mwezi huku yeye akiwa bado anahaha kutafuta ajira but haikuwa issue nilimpa kila alichokitaka kadri ya uwezo wangu nikapanga nimuoe.

Kumwambia nimuoe akagoma eti hawezi kuolewa na mwalimu aina yeyote ni aibu kubwa sana kwake na familia yake sio siri niliumia sana but kwakuwa mimi sipendi fake love nikaamua bora tuachane.

Ktk pitapita zangu nikakutana na mtoto Glory ambaye alikuwa anasoma KCMC bachelor of Medicine akanipenda kweli na Inshaalah nilimuoa na mpaka sasa ni mke wangu na tumezaa watoto wawili.

Huwezi amini ile dharau ya Rechael ilinifanya nirudi shule kusoma zaidi na sasa Alhamdulillah nimefika sehemu nafanya kazi nzuri zaidi kwa maslahi zaidi huku nikiwa na miradi kibao hapa mjini ikiwemo uber, bodaboda, maduka etc.

Leo ktk pitapita zangu mitandaoni nikakutana na friend request kucomfirm kumbe ni Rechael akiniuliza maswali kibao na kunilaumu eti yeye ilikuwa ni ujana na ujinga tu tu hivyo haikuwa akili yake akaomba nimsamehe sana kwani bado ananipenda sana.

Nikamwambia siunajua kuwa nina mke sasa kajibu ndio ila yeye hajali na hawezi kubali kunitoa moyoni ni utoto tu hivyo yupo tayari nimuoe mke wa pili nikakumbuka wimbo wa "barua" ya Bushoke aliposema "kumpenda bado ninampenda msemakweli mpenzi wa Mungu" ila ninachofikiria ni mke wangu wa sasa.

Nimuoe mke wa pili au nimfanye outside chick hizo ni option nilizojipa coz bado ninampenda ukizingatia ni mtoto wa kiislamu full maadili bikra yenyewe kikombe nimekidondosha mimi kikavunjika!
Ila je ananipenda tu nikiwa na hadhi je nikiporomoka itakuwaje mana mshika mawili moja humponyoka au kukosa yote.

Nishaurini wadau ila naomba ushauri kutoka wanajf ambao atleast wana 30 yrs na kuendelea mana jf ya sikuhizi utoto mwingi
Kuoa au kuacha ni juu yako.
Unaweza kurudia kuchezea matope au uwe mtu mzima.

Hakuna mke hapo.
Hicho ni kiwanda cha umaskini.

Nina uzoefu na maslay queen hayana lolote la maendeleo zaidi ya kujipamba kwa ajili ya show off na si vinginevyo.

Ukiwa nazo mapenzi moto moto, ukikosa utadharauliwa hadi utamani kujinyonga.

Komaa na Gilo wako.
Usirudie kuchezea matipe..


Faida ya maslayqueen dharau zao zitakupa prwsha ya kusaka pesa na kubadilisha maisha yako.

Ambwene muimbaji alichumbia mke na familia wakamkataa kuwa hana elimu hsna hadhi...jamaa aliumia akarudi shule hadi akapata digrii na sasa yuko vizuri na mke mzuri.

Mshukuru huyo malaya kwa dharau zake zimekusaidia lkn kamwa usimfuge chatu amekuwa mkubwa atakumeza
 
Back
Top Bottom