Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,291
- 17,815
Biriani unauza sh !?Bawacha huyo dunia imempiga alafu anarudi kwako.
Biriani unauza sh !?Bawacha huyo dunia imempiga alafu anarudi kwako.
Gladness ayo au?Karibu Mkuu
Hakika wewe ndiye mtu wa pekee mwenye mawazo na misimamo wa ukweli na mawazo ya kiutuuzima !Yaan kama ni side chick tafuta mwingine na sio huyo ex wako, amekutafuta coz kaona una mafanikio ko atakua tegemezi vzr!!!! Na ukiwa nae atakunyonya tu uchumi wako hakuana anachokitaka kwako
Haiwezekani mpaka uoe uwe na watoto wawili ndo akutafute
The kama alikukataa unachukua laki 7 kwa mwezi, ina maana alikua natika na wanaume wanaochukua milioni au zaid kwa mwezi, hivyo kaona na ww una uhakika kwa kutoka na zaidi ya milioninkwa mwezi ndo umekidhi vigezo vyake
Piga chini, kaza moyo tu, vitu vingine tunaviacha huku moyo unauma lkn kwa ajili ya ku secure maisha yako itabidi uache tu
Kumbuka vitani unamuua hadi baba yako mzazi kwa sababu tu kasimama upande wa adui ila maumivu unauoyapata ni siri yako
Hivyo hata kama unampenda achana nae ikiwezekana acha kuwasiliana nae kabis utamsononesha mkeo tu!
Narudia tena kama ni side chick tafuta mwingine
Asante kakaHii tabia wanayo sana wanawake wanakukataa mwanaume wakat huna ela, ukishakuwa na maisha flan ambayo sio lazima yawe juu sana wanarudi tena kwa kukulaumu mwanaume, huyo chana naye atakuvurugia ndoa yako na familia
Big up kakahuyu jamaa aachane a huyo maan am mwenyewe nilimalizaga hapo IFM miak ahiyoo...na sikuwahi kuwa na wadada wa hapo..inshort ni ujinga na utoto na kudanganyana...maisha halisi watu hawajui..wakishagraduate ndio wanajua mafanikio ni ninni sio title ya course..yani ni kichwani una nini..wenzetu walioendelea utakuta mtu ni executie director kaolewa na mtu ana kazi ya kawada hata mcoraji yani....tatizo mindset EXPOSURE .....ulimbukeni yote yote.....mtu hampendi mtu anapenda Title hata ukiwa na title hun ahela ukafake unazo utapendwa ...
AsanteWakati tuko shule tulijifunza
Factors for the rise of Mali Empire na baadae zinakuja Factors for the collapse.
Brother, nafahamu unampenda sana ila amini hata siku akimpata wa zaidi yako, atakuacha tena tu.
Najua saizi utasema "Ni wivu tu".
Hebu mpe heshima yake mkeo aliyekuvumilia hadi sasa.
Yawezekana ukimuoa huyo, hata mkeo mkubwa utamshusha thamani yake kwako.
Zakuambiwa changanya na zako. Najua saizi utasingizia kwa kuwa dini inakuruhusu.
Haha,Kama kawaida yetu mkuu,ndyo maana tunakutana huku,it's stress free zone, acha tuenjoyKama kawaida yako kwenye mada hizi unazipenda kwl
Ndo nini MkuuGladness ayo au?
Tobaaa nini hichoo tena![emoji25] [emoji30]Hebu njoo ufute hii 😀 😀
Naweka msisitizo.Unachokitafuta UTAKIPATA
Wewe haujawahi mfanyia mtu hivyo na badae ukarudi tena kuomba chance?Karma ni nyokolo
Wewe haujawahi mfanyia mtu hivyo na badae ukarudi tena kuomba chance?
Okay. Vipi suala la kumuacha mwanaume haujawahi?Kwanza namshukuru Mungu sana katika vitu alininyima ni uroho/tamaa ya vitu, sijawahi kukutana na matukio style hiyo
Okay. Vipi suala la kumuacha mwanaume haujawahi?
Nimefuta piaTobaaa nini hichoo tena![emoji25] [emoji30]
Ulimuacha kwa Sababu gani maana nyie mkitaka kumuacha mtu huwa mnavisababu ambavyo havina miguu wala kichwa.Hilo nimeshawahi
Mi kumuacha mtu ni mpaka unipige matukio ya kinyuklia na nikikuacha nimekuacha sirudi nyumaUlimuacha kwa Sababu gani maana nyie mkitaka kumuacha mtu huwa mnavisababu ambavyo havina miguu wala kichwa.
Utasikia naomba nipumzike nimechoka mahusiano/ mara dini tofauti/ mara wewe siyo mwaminifu wakati haujawahi mfumania.