Alifukuzwa nyumban kwake, akatapa tapa, kila mahali kabaguliwa na kuuliwa, leo hatimae amerud kwake, kajizatit, unafikiri atakubali mumuondoe kirahisi

Alifukuzwa nyumban kwake, akatapa tapa, kila mahali kabaguliwa na kuuliwa, leo hatimae amerud kwake, kajizatit, unafikiri atakubali mumuondoe kirahisi

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,375
Reaction score
28,484
20250820_144113.jpg
 
kila sehemu ukitakiwa na mwenye kwake dunia nzima itakuwa hakuna mwenye kwao, katika historia sio tu ya biblia bali hata ya kidunia hao waisraeli hawajawahi kuishi hapo kwao peke yao, kwanza walikuta watu wapo, hawakufikia maporini kulikuwa na watu, haonwapalestina sio wahamiaji hapo, nao ni wazawa vilevile
 
Back
Top Bottom