the great wizard
JF-Expert Member
- Dec 21, 2015
- 1,482
- 894
ExactlyYaaa ndio card yenyew iyo..sema ni virtual..so lazma awe nayo
ExactlyYaaa ndio card yenyew iyo..sema ni virtual..so lazma awe nayo
Yaaa ndio card yenyew iyo..sema ni virtual..so lazma awe nayo
Sio kweli Alibaba Hawatumi kwa PoBox Hadi uwe na shipping agent China Wao watatuma kwake yeye huyo agent wako yeye atajua atatumaje kwako na mara nyingi mizigo wa Alibaba huja kwa meli kwasababu wao huuza jumla
Hatar mkuu,,last week wakina chandler walichezea kichapo matata...Mkuu the last ship inaendeleaje?
Sidhani Kama upo sahihi nijuavyo Alibaba na AliExpress mmiliki ni mmoja.
Alibaba wanauza jumla na AliExpress mojamoja(rejareja)
Mkuu samahani kwa usumbufu,nmefungua kama ulivyoelekeza pale juu imekubali vizuri,tatizo limekuja nmetaka kununua saa imeshindikana wanasema "your payment exceeds the card limit" sijaelewa wakati kwenye account ya mpesa kuna hela ya kutosha.Ufafanuzi kidg hapo mkuiPamoja mkuu
labda sielew ila naomba unielezee huu mzgo nilioagiza china direct nikachukulia posta pale kwa address ya postaView attachment 913069View attachment 913071View attachment 913072View attachment 913073View attachment 913074View attachment 913075View attachment 913076View attachment 913077View attachment 913078
na ukisha lipia kwa uyo muuzaji jukumu la kusafilisha ni la muuzaji kama ilivyo Ali Express ama na njia ya kupokea c ile ile posta ama utalatibu unabadilikaacha kukariri mzee alibaba kuna chat ya message kama hyo niliyopost hapo nilinunua lcd display moja tu tena kwa bei ya jumla it depends na ww unavyoongea na muuzaji husika mzee
na ukisha lipia kwa uyo muuzaji jukumu la kusafilisha ni la muuzaji kama ilivyo Ali Express ama na njia ya kupokea c ile ile posta ama utalatibu unabadilikaacha kukariri mzee alibaba kuna chat ya message kama hyo niliyopost hapo nilinunua lcd display moja tu tena kwa bei ya jumla it depends na ww unavyoongea na muuzaji husika mzee
na ukisha lipia kwa uyo muuzaji jukumu la kusafilisha ni la muuzaji kama ilivyo Ali Express ama na njia ya kupokea c ile ile posta ama utalatibu unabadilika
yap ndo maana yeye alinipa tracking no. baada ya kuship mzgo
pw ngoja nijalibu mana kunakipindi seller flan alikataa
sawa sawakikubwa ni kuwasiliqna nao tu vzur
asee nilibnanwa kidogo kama mwezi sijaangalia weekend ijayo lazima nizidownloadHatar mkuu,,last week wakina chandler walichezea kichapo matata...
hiyo card ina kikomo cha amount ya malipo kwa mda huu inatakiwa isizidi amount flani i.e isizidi 50000Mkuu samahani kwa usumbufu,nmefungua kama ulivyoelekeza pale juu imekubali vizuri,tatizo limekuja nmetaka kununua saa imeshindikana wanasema "your payment exceeds the card limit" sijaelewa wakati kwenye account ya mpesa kuna hela ya kutosha.Ufafanuzi kidg hapo mkui
Ipakue mkuu balaa limekua balaaasee nilibnanwa kidogo kama mwezi sijaangalia weekend ijayo lazima nizidownload
mbona nmelipia kitu cha 15000 tu?hiyo card ina kikomo cha amount ya malipo kwa mda huu inatakiwa isizidi amount flani i.e isizidi 50000
tafadhali piga 100 kwa msaada zaidi bcoz sina experience ya tatizo kama hilombona nmelipia kitu cha 15000 tu?
poa haina shida mkuuIpakue mkuu balaa limekua balaa