Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,712
- 1,660
Nna account ya CRDB nmeshailink na online purchase Ila nashndwa kufungua na kuvelify account ya PayPal
Nakuona nakuonaaaa mkuuuuu unatema madini kama GGM.
Hahaaaaaaa wape darasa vijana.
Mkuu hakikisha account yako ina pesa. Ndio utaweza ku fanya hivyo.Nna account ya CRDB nmeshailink na online purchase Ila nashndwa kufungua na kuvelify account ya PayPal
Inategemea na seller mkuu... Mmi nimetumia china post less than 15 days 2 times mzigo ukafkakwenye option za kutuma chagua aliexpress standard shipping wana chaji kidogo ukitumia china post utasubiria karibia mwezi mzigo ufike.
Help plz!! Mfano umeshanunua product online mfano simu or laptop ikasafirishwa inafikia Dar?, Then wana office zao (mawakala) or unapokea mtu uliyeagiza? Or inafika hadi mkoa ulioandikia address? Mfano Dodoma urban. Na hyo free shipping inaishia wapi?
Nami nina majanga ya kupotelewa mzigo in transit aiseeView attachment 866933
Kwa miaka mitatu sasa nimekuwa online shopper na ninapata mizigo on time, ila kuna changamoto kama kuchelewa kwa parcels na mizigo kupotea intransit, but ni mara chache kupata incident kama hizo. Kiukweli kuna baadhi ya bidhaa upatikanaji wake ni wa tabu sana hapa nchini. Lakini pia ukiagiza una save kiasi kikubwa cha pesa kuliko kununua hapa TZ.
ok basi ni muda anaotumia seller kutuma mzigo,Inategemea na seller mkuu... Mmi nimetumia china post less than 15 days 2 times mzigo ukafkaView attachment 866922
Hayo mambo ya wizi ni uongo mtupu,mimi hadi sasa hivi nimenunua zaidi ya item 200 mtandaoni kutoka kwenye masoko ya banggood,aliexpress,ebay e.t.c kuanzia saa,nguo,simu,mikanda ya suruali,ving'amuzi vya FTA,CCTV camera e.t.c ila hakijawahi kuibiwa wala kupotea kitu hata kimoja!!free shipping , hua inafikia kwa PO BOX, na ndo iko ivyo!
na inachukua masiku mengii kufika, yaani ukiagizia inabidi usahau kabisa!
posta ni wezi kinoma, kua tayari kwa ilo, mzigo unafikia posta kuu dar kwanza (kuna wizi uliokithiri) then ndio wana dispatch kwa posta ndogo ndogo(hapa ndo kuna ule wizi wa rejareja)
utakua unafanya kazi tpc, si bure!Hayo mambo ya wizi ni uongo mtupu,mimi hadi sasa hivi nimenunua zaidi ya item 200 mtandaoni kutoka kwenye masoko ya banggood,aliexpress,ebay e.t.c kuanzia saa,nguo,simu,mikanda ya suruali,ving'amuzi vya FTA,CCTV camera e.t.c ila hakijawahi kuibiwa wala kupotea kitu hata kimoja!!
Wala,tena nipo Lindi na mizigo yangu yote huwa inakuja kupitia sanduku la posta la ofisini kwetu.Hata hii simu ninayotumia kuandika hapa nimeinunua Aliexpress na ilifika in less than two weeks!utakua unafanya kazi tpc, si bure!
Hiyo ni nini mkuu?Source Hand tufting gun on m.alibaba.com
Hii bidhaa wakuu ntaipataje na mchanganuo wake ukoje mpaka niitie mikononi mwangu??
Hiyo ni mashine ya kushonea mazulia mkuu...Hiyo ni nini mkuu?
Mkuu nkiwa nafungua account ya PayPal naombwa zip code hizo ni nn?
Wala,tena nipo Lindi na mizigo yangu yote huwa inakuja kupitia sanduku la posta la ofisini kwetu.Hata hii simu ninayotumia kuandika hapa nimeinunua Aliexpress na ilifika in less than two weeks!