Kwa hiyo mkuu, kila ukitaka kununua kwenye hizo ecommence lazima u-log in? mfan bang good, Aliexpress etc!ngoja niwasaidie wadogo zangu hzo ecommerce zinautaratibu mzur sana baas tu ushamba wetu na kutokujua anyway kwanza fungua account kwny hzo ecommerce utajaza information zako na kila kitu ukimaliza unatakiwa kuwa na seheme ya malipo utajaza information zako kama ni kwa credit card au paypal ukimaliza unatakiwa kuwa ba shippng address yako sasa hapo wengi tunatumia postal address kidogo n nafuu mzgo utauchukua posta pale na kulingana na mzgo husika utalipia kodi au unaweza usikipie,,,,ingawa pia kuna shippng company nyngne kama dhl wanaweza wakakufikishia mpaka ulipo ila gharama zake zko juu sana
free shipping , hua inafikia kwa PO BOX, na ndo iko ivyo!
na inachukua masiku mengii kufika, yaani ukiagizia inabidi usahau kabisa!
posta ni wezi kinoma, kua tayari kwa ilo, mzigo unafikia posta kuu dar kwanza (kuna wizi uliokithiri) then ndio wana dispatch kwa posta ndogo ndogo(hapa ndo kuna ule wizi wa rejareja)
Kwa hiyo mkuu, kila ukitaka kununua kwenye hizo ecommence lazima u-log in? mfan bang good, Aliexpress etc!
yap pia omba na tracking no. kwa seller utaweza kutrack mzgo wako kuna app inaitwa 17tracking unaona kabisa mzgo huko wap kwa muda upo shippng
Nakuona nakuonaaaa mkuuuuu unatema madini kama GGM.Mzigo utafikia posta kama ulivyojaza adress yako....achana na free shipping,tumia standard shipping ni hela kidogo sana...mzgo unafka fasta...mzgo wangu wa juu huo una siku 10 tu ushatua bongo kwa standard shippingView attachment 864806
Help plz!! Mfano umeshanunua product online mfano simu or laptop ikasafirishwa inafikia Dar?, Then wana office zao (mawakala) or unapokea mtu uliyeagiza? Or inafika hadi mkoa ulioandikia address? Mfano Dodoma urban. Na hyo free shipping inaishia wapi?
Inafikia kwenye anwani yako uliyoweka.laptop ikasafirishwa inafikia Dar?,
Hakuna ofisi - Mffumo wa ufanyaji kazi hauhitaji uwepo wa ofisi.Then wana office zao (mawakala)
Sahihi, wewe uliye agiza, ndiye utakayepokea mzigo wako kupitia anwani uliyompatia muuzaji.or unapokea mtu uliyeagiza?
Sahihi kabisaOr inafika hadi mkoa ulioandikia address?
NdioMfano Dodoma urban.
Mahala ulipo, Kwenye anwani yako ndipo unafikia mzigo.Na hyo free shipping inaishia wapi?
Mkuu upo dar?Inafikia kwenye anwani yako uliyoweka.
Iwapo umeweka anwani ya Geita, Basi mzigo utasafiri na kukufikia hapo geita
Hakuna ofisi - Mffumo wa ufanyaji kazi hauhitaji uwepo wa ofisi.
Sahihi, wewe uliye agiza, ndiye utakayepokea mzigo wako kupitia anwani uliyompatia muuzaji.
Sahihi kabisa
Ndio
Mahala ulipo, Kwenye anwani yako ndipo unafikia mzigo.
Kuhusu free shipping iko hivi
- Bei ya bidhaa yaweza kuwa ni dola 5
- Ghalama ya kusafirisha ni Dola 3 { 5 + 3 = 8}
Kwa lugha ya kibiashara tangazo litakuwa hivi, Nunua bidhaa hii kwa Dola 8 ili upate FREE SHIPPING, Nadhani hapa nimeeleweka.
Unapo nunua bidhaa zingatia ubora wa bidhaa zaidi na sio kuangalia bidhaa walizo andika FREE SHIPPING
Nikiwa vizuri nitakujuzaSahihi
Karibu