Usinunue alibaba,nunua aliexpress!.....Alibaba hawatumi kwenye sanduku la posta!
Utaupata bila shida ZIP Code ni muhimu. Orodha ya ZIP Code ipo kwenye website ya TCRA.Ivi kama sina sanduku la posta na niko mikoani kwa mfano nikaandika po box songea ruvuma pamoja na namba ya simu mzigo nitaupata na hapa kwenye zip code nilazima kujaza
Wewe jamaa muongo,mbona Mimi nimewai kununua bidhaa kwenye mtandao kiasi cha tsh350,000/=kwa kutumia m pesa MasterCard na ilikubali bila shida,sema yeye uenda Kuna kitu anakosea.hiyo card ina kikomo cha amount ya malipo kwa mda huu inatakiwa isizidi amount flani i.e isizidi 50000
nilifikiri hivo kumbe sivyo bossWewe jamaa muongo,mbona Mimi nimewai kununua bidhaa kwenye mtandao kiasi cha tsh350,000/=kwa kutumia m pesa MasterCard na ilikubali bila shida,sema yeye uenda Kuna kitu anakosea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niljarbu kinunua kitu cha elf 80 ikawa inagoma na salio lilikua 100,000Wewe jamaa muongo,mbona Mimi nimewai kununua bidhaa kwenye mtandao kiasi cha tsh350,000/=kwa kutumia m pesa MasterCard na ilikubali bila shida,sema yeye uenda Kuna kitu anakosea.
Sent using Jamii Forums mobile app