AliExpress, Alibaba or eBay etc.

AliExpress, Alibaba or eBay etc.

Mkuuu naomba nijuze utaratibu wa kuagiza vitu kwa AliExpress mimi nataka kuagiza pia please naomba nisaidie nianzie wapi
Vodacom sasa hivi wamerahisha mambo so darasa halitakuwa kubwa sana zaidi nikuwa na profile AliExpress yenye taarifa zako sahihi...
 
kama ushaona pikipiki au magari ya DHL basi hii kampuni iko nondo kwa kusambaza mizigo hadi sehemu husika na mawakala wake ni wabongo so ukinunua bidhaa yako kuna baadhi ya site unachagua nani wakukuletea mzigo wako so kwa kufuata conctacts wanakuletea hadi mlangoni
 
Mkuuu naomba nijuze utaratibu wa kuagiza vitu kwa AliExpress mimi nataka kuagiza pia please naomba nisaidie nianzie wapi

jiunge na vodacom mastercard ili kupata cvv na account ya kulipia bidhaa then kila kitu sahihi
 
kama ushaona pikipiki au magari ya DHL basi hii kampuni iko nondo kwa kusambaza mizigo hadi sehemu husika na mawakala wake ni wabongo so ukinunua bidhaa yako kuna baadhi ya site unachagua nani wakukuletea mzigo wako so kwa kufuata conctacts wanakuletea hadi mlangoni
Sawa wanakuletea hadi mlangoni ila gharama yake sasa ni nusu gharama uliyo tumia kuagiza mzigo.
 
Sawa wanakuletea hadi mlangoni ila gharama yake sasa ni nusu gharama uliyo tumia kuagiza mzigo.
hapana gharama ni makubaliano kipindi unanunua kama site nyingi huwa bei kabisa ya shipping so ni choice na bei sio kubwa sana also depend na muda wa deliver
 
hapana gharama ni makubaliano kipindi unanunua kama site nyingi huwa bei kabisa ya shipping so ni choice na bei sio kubwa sana also depend na muda wa deliver
Una kubaliana na nani while bei unakuwa imewekwa tayari, hilo nililiona banggood bidhaa ya laki mbili ukitumia shipping kwa DHL gharama ikawa elfu sabini nk.

Huo unafuu hapo upo wapi. Better kutumia POSTA TU na mzigo inafika salama salimini.
 
Una kubaliana na nani while bei unakuwa imewekwa tayari, hilo nililiona banggood bidhaa ya laki mbili ukitumia shipping kwa DHL gharama ikawa elfu sabini nk.

Huo unafuu hapo upo wapi. Better kutumia POSTA TU na mzigo inafika salama salimini.

yeah ndo mana nikasema ni choice pia kama unataka uharaka zaidi,
 
Aisee nimevutiwa nami.
Kwa Muda nilikua namwagiza mtu aninunulie online halafu namlipa kidogo ila Sasa nataka nianze kuagiza mwenyewe.

Nitapata experience hapa.
 
Aisee nimevutiwa nami.
Kwa Muda nilikua namwagiza mtu aninunulie online halafu namlipa kidogo ila Sasa nataka nianze kuagiza mwenyewe.

Nitapata experience hapa.
Ni simple sana kama una
MasterCard
Una Posta Address
na Profile yenye taarifa zako sahihi katika soko husika mfano AliExpress nk
 
kama ushaona pikipiki au magari ya DHL basi hii kampuni iko nondo kwa kusambaza mizigo hadi sehemu husika na mawakala wake ni wabongo so ukinunua bidhaa yako kuna baadhi ya site unachagua nani wakukuletea mzigo wako so kwa kufuata conctacts wanakuletea hadi mlangoni
DHL pasua kichwa...gharama ya usafir inazid bidhaa..labda uwe mshua
 
Usinunue alibaba,nunua aliexpress!.....Alibaba hawatumi kwenye sanduku la posta!

mm nna mizigo kibao nimenunua alibaba na nimepokelea posta sina uhakika na hili lako nnavyojua section ya parcel pale posta inapokea mizigo ya po box adress na pia address ya simu sio swala sana hili
 
mm nna mizigo kibao nimenunua alibaba na nimepokelea posta sina uhakika na hili lako nnavyojua section ya parcel pale posta inapokea mizigo ya po box adress na pia address ya simu sio swala sana hili
Sidhani Kama upo sahihi nijuavyo Alibaba na AliExpress mmiliki ni mmoja.
Alibaba wanauza jumla na AliExpress mojamoja(rejareja)
 
mm nna mizigo kibao nimenunua alibaba na nimepokelea posta sina uhakika na hili lako nnavyojua section ya parcel pale posta inapokea mizigo ya po box adress na pia address ya simu sio swala sana hili

Sio kweli Alibaba Hawatumi kwa PoBox Hadi uwe na shipping agent China Wao watatuma kwake yeye huyo agent wako yeye atajua atatumaje kwako na mara nyingi mizigo wa Alibaba huja kwa meli kwasababu wao huuza jumla
 
Back
Top Bottom