Bila shaka hao wadudu ni wale wadudu weusi wenye viantena viwili kama Mende, ulitumia mbao zilizowekwa dawa (treated)?Nimesoma thread kutoka 2016 ila zote sijapata jibu kwakua baadhi ya michango imekataliwa kua haifanyi kazi,
Naomba kama mtu alifanikiwa kuondoa hawa wadudu wala mbao ambazo tayari zimeshapigwa kwenye kenchi anisaidie .
Shukran
Shukran, ngoja nikipange kufanya hiyo kazimkuu...unacho takiwa kufanya ni kupaka oil...wanaita oil chafu...hakikisha unazipaka mbao zote...ila kagua kwanza uone uharibifu uliofanyika kama wametafuna mbao zote ama lah...
lakini oil chafu ni. mwisho wa matatizo ya hao wadudu...!
Mbona dawa zipo unamuita tu mtu anakuja kupaka huko huko juu.mim nilienda sehemu nikakuta wadudu wanashambulia mbao ikabidi nimwambie mwenye nyumba.Nimesoma thread kutoka 2016 ila zote sijapata jibu kwakua baadhi ya michango imekataliwa kua haifanyi kazi,
Naomba kama mtu alifanikiwa kuondoa hawa wadudu wala mbao ambazo tayari zimeshapigwa kwenye kenchi anisaidie .
Shukran
Dukani dawa za kchongo nyingi sanaMbona dawa zipo unamuita tu mtu anakuja kupaka huko huko juu.mim nilienda sehemu nikakuta wadudu wanashambulia mbao ikabidi nimwambie mwenye nyumba.
Alienda kununua dawa alivyopaka mpaka leo nikienda juu ya dali nakuta kuko poa
Mbona dawa zipo unamuita tu mtu anakuja kupaka huko huko juu.mim nilienda sehemu nikakuta wadudu wanashambulia mbao ikabidi nimwambie mwenye nyumba.
Alienda kununua dawa alivyopaka mpaka leo nikienda juu ya dali nakuta kuko poa
hawa wa hivo unawatoaje?Bila shaka hao wadudu ni wale wadudu weusi wenye viantena viwili kama Mende, ulitumia mbao zilizowekwa dawa (treated)?
Mbao zinapakwa rangi ya ukili siku hizihili sasa ni tatizo sana. hizi mbao wanatuuzia wanasema ni treated kumbe hamna kitu. Mimi pia ni mhanga wa hili, nitapaka oil chafu kama mlivyoshauri.