Alidai nimeoa bibi kizee, sasa anaomba msaada

Alidai nimeoa bibi kizee, sasa anaomba msaada

Huyo ni ndugu yako tuu hata ubinuke, maswala ya visasi karne hii hayapo. Kama una lengo la kumsaidia msaidie huwezi jua kesho yako ndugu, na hujui ukianguka nani atakaekunyanyua kama alikuwa mzee ulitaka akuambie ni kabinti?? Msamehe wala hakuwa na lengo mbaya, tena anakupenda sana ndo maana kipindi hicho akawa mkweli.
 
Kumbe ww ndio mtoa hukumu mi nlijua ni MUNGU! !!mm muumin wa biblia ina sema usilipe ubaya kwa ubaya bali lipa ubaya kwa wema.

Pia inaniambia adui mpalie makaa.makaa si mabay ni mema so MSAMEHE 7×70 na msaidie.

Pia acha kutunza mambo mazito moyon
 
kweli kipenda roho hula nyama mbichi, walisema wahenga, lakini 34 mpaka 55 palefu (soma paleeefu) ni kama mama na mtoto wake. mama akiwa amemzaa mtoto wake akiwa na miaka 21!!
Hivi kibaiolojia, mke wa huyu bwana katika umri huo anaweza kuzaa? just for curiosity
Dah.... Wapi kaandika kuwa wanataka mtoto baba? Yeye kaandika kuwa wengi walisema alimuoa huyo kwa sababu ni mwanamke tajiri basi. Sasa hayo mambo ya mtoto labda uyalete wewe
 
Dah.... Wapi kaandika kuwa wanataka mtoto baba? Yeye kaandika kuwa wengi walisema alimuoa huyo kwa sababu ni mwanamke tajiri basi. Sasa hayo mambo ya mtoto labda uyalete wewe [/QUOTE
Mkuu sijasema kuwa wanataka mtoto. ndiyo maana niasema "just for curiosity".
 
kweli kipenda roho hula nyama mbichi, walisema wahenga, lakini 34 mpaka 55 palefu (soma paleeefu) ni kama mama na mtoto wake. mama akiwa amemzaa mtoto wake akiwa na miaka 21!!
Hivi kibaiolojia, mke wa huyu bwana katika umri huo anaweza kuzaa? just for curiosity
Na anaweza kuwa mtoto wake wa pili kabisa
 
Niliposoma mara ya kwanza nikakasirika ila
Samehe saba mara sabini
Nilivyosoma mara ya kwanza hii mada nikakasirika,ila nilivyorudi na kusoma jina la mtoa mada nikajikuta nimecheka mpaka aliye pembeni yangu hapa kaniuliza unacheka nini....
 
Huyo ni ndugu yako ni wajibu wako kumsaidia...
 
Mwenye pesa zake anataka kumsaidia..We tatizo lako nn..Kwani mkeo alikuwa hajui kama mdogo wako anafanya kampeni ili msioane..Mbona yeye kakunjua moyo na anataka kumsaidia
Kaboom wewe una busara na ubarikiwe.
 
samehe - usiache ndugu yako aka adhirika na wewe una uwezo wa kumuokoa - binaadamu wote hukosea hasa kwenye familia. wema ni dawa ya maovu
 
Mpe pesa amejifunza

Utaishia kuumia wewe zaidi na sio yeye atakapoikosa nyumba hiyo kwa tena kuvunjwa.
 
Msaidie bwana mdogo. Hiyo ndio njia nzuri ya kumfanya ajifunze. Halafu vyovyote vile iwavyo yeye ni sehemu ya familia yako...kwa mawazo yangu ni kwamba akiadhirika na familia nzima nayo itakuwa imeadhirika.
 
Back
Top Bottom