Kwani mm sijui ni mwezi wa ramadhan? Upuuzi ni upi hapa? Au tuanze kushushiana aya za Koran hapa?sheikh yasin MWEZI WA RAMADHANI UNAULIZA UPUUZI




maneno mengine mntatumia hamjui maana yakendo anagawa mpunga huo halaaa
kweli kipenda roho hula nyama mbichi, walisema wahenga, lakini 34 mpaka 55 palefu (soma paleeefu) ni kama mama na mtoto wake. mama akiwa amemzaa mtoto wake akiwa na miaka 21!!
kila mtu anamaanisha anavyojua ni kama uniambie takauchi kumamoto huko japan inatumika ni jina la kawaida tu sasa hapa jf na tz ni matusi kwahiyo tuliza mshonomaneno mengine mntatumia hamjui maana yake
WhitehorseMsamehe tu huyo ni ndugu yako wa damu huyo mzee wa miaka 55 anakusikiliza wewe mumewe wa miaka 35 atakubali tu mumsaidie ndugu yako. Me naona umsamehe maana alijitoa muhanga kusema ukweli kabisa maana 55-35 unapata mtoto mkubwa kabisa hapo aliyefikia balekhe. Japo ndio hivyo wanasema age ain't nothing ila mhhh Ndi Ndi Ndiiii![]()
mimi mshono situlizi na mfano wako wa kumamoto unakujaje hapakila mtu anamaanisha anavyojua ni kama uniambie takauchi kumamoto huko japan inatumika ni jina la kawaida tu sasa hapa jf na tz ni matusi kwahiyo tuliza mshono
UPUUZI WAKO MBELE ZA ALLAH,UNA HELA MTU KAJA KUKUOMBA MSAADA UNATAKA KUMKOMESHA JE NDIO ULIVYOFUNZWA MADRASA?Kwani mm sijui ni mwezi wa ramadhan? Upuuzi ni upi hapa? Au tuanze kushushiana aya za Koran hapa?
kwasababu ni jina nkama mpunga............mimi mshono situlizi na mfano wako wa kumamoto unakujaje hapa
Parefu maana yake nn?Msamehe tu si unajua vijana tena..Ila na wewe ni kweli umeoa mzee. 34 kwa 54 parefuu. Hivi unaenjoy chochote hapo au ndo unasubiria mirathi tu. Dunia ina mengi
sawa ni jina ila neno la kiswahili linatakiwa litumike kwa ufasaha ili wote tuelewe rio kwa maana yakokwasababu ni jina nkama mpunga............
kwa hiyo hilo neno ufasaha wake ni upi anza sasa kunidadavulia neno jina mpungasawa ni jina ila neno la kiswahili linatakiwa litumike kwa ufasaha ili wote tuelewe rio kwa maana yako
ngoja kwanza mbona upo mwendokasi bibie unapoaodika kitu uwe unajua wanaosoma ni watu ambao wanatakiwa waelewekwa hiyo hilo neno ufasaha wake ni upi anza sasa kunidadavulia neno jina mpunga
Sasa akamuombe mkewe kijana anakuja kuombaje mzee?Hebu saidia mdogo wako lakini si ni ukweli umeoa mzee kwani alimsingizia.... Hebu acha hizo msaidie.