Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 8,577
- 29,499
- Thread starter
- #41
Shukrani Mkuu..!!Watu wana pesa na majumba ya kifahari, ila hawana ndoa, hawaoni maana halisi ya maisha, we bado upo young damu inachemka umbo namba nane waona dunia yote yako na wanaume wote hawakufahi, unajichagulia tu kama nyanya sokoni! Tukutane kuanzia 35 tuone utakuwa na akili ya namna gani!
Tunakumbushana coz yashazungumzwa mengi!
Ndoa si shule kupata cheti baada ya mitihani! Usitegemee kupata jibu halisi juu ya ufafanuzi wa maneno hayo ya mzee, ingia UYAONE!!