ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,305
Usioe kabisa mkuu,maana hata baba yako hakuelezi yaliyomo,wewe kaa hivyo hivyo tu.
Acha woga mkuu... ndoa ni tamu sana kama ukiwa na busara na ukajua mwenzio anapenda nini na nini hapendi na ukajiheshim... hutakuja kujuta kuoa, binafsi nina enjoy sana kuoa. ULISHAAMBIWA UISHI NAO KWA AKILI SASA UKIONA UMESHINDWA KUISHI NAE JUA KUWA WEWE HUNA AKILI...
Write your reply yako inakera mkuu.Write your reply...ASANTE KWA TAARIFA
Inakera mnoHii slogan mkuu naona kama unazingua!
“Write your reply” kwanini kila post unayotuma hapa unaweka hii kitu?
Wise sayings Mkuu, shukraniii sana..!!Mwamin MUNGU,dont marry a stranger,yaangalie maisha yako kunatabia unazo za kwako hata ww mwenyewe huzipendi bado unapambana nazo,hivyo ndivyo alivyomtu unayetaka kuishi nae,maisha yamejaa kuvumiliana katika kila hali sio katika ndoa tu hata mahusiano yoyote,lower your expectations,marry a reasonable person,marry someone you like not necessary you love him/her.maisha ni zaid ya kuoana.
Kama ni ke sawa. Nitakuja kukupa mawazo yangu baadaeKe Mkuu,