Alichonifanyia ni sahihi?

unafikiri nae angekula wapi wewe kula mambo yako tembea
 
kapuya + mungai + mulugo = wametuharibia sana watoto
 
Ngoja leo tusolve kitaalamu kama nilivyofunzwa shule.

Mtoto umri = miezi 4
Uhanga wa sex = Miezi Saba
Mara ya mwisho ku-do = Akiwa na mimba ya miezi 7

Hivi tunafind x ama k? Rudia swali dada
Kubemenda mtoto ni mulnutrition. Zaamani kwa sababu hakukuwa na njia za uzazi wa mpango na chakula kilikuwa hafifu (na wababa nguvu za kiume lukuki na hawana michepuko, sio hizi ndoa zenu za kisasa sex mara tatu kwa mwezi), wamama walitishiwa kubemenda ili kuepuka kubeba mimba fasta fasta na kuchoshwa na mume ashindwe kunyonyesha mtoto usiku. Kule kwao mama yangu kwa wabarbaig walifundishwa kuwa hadi mtoto aanze kunyonya kidole gumba cha mguu wake (na ukiangalia ni around mwezi wa 8 wa umri), hapo ndio mnazinduana upya. Ulkiangalia kwa ukaribu walau mtoto wa pili atafuata huyo mwingine akiwa na mwaka na nusu. Sijuhhhi umeerrrrewaaa?:angry:
cute datty shukrani kwa jibu lako!!!

Ngoja tusikie wengine wanasemaje Kongosho, snowhite, King'asti, gfsonwin, Ennie na wengine hebu nijuzeni tafwadhali
 


Achana naye tafuta huyu hapo chini ndio Mpango mzima!

 
Pole sana una danganywa!
 
ujakutana na mwanamke kwa mda gani???inaonekana una ugumu ila unasingizia pesa ulizofinance!!!..kuna kitu umeficha
 
Kwa kuwa Amekuwa muwazi kwako endelea kumchunguza, kukuuliza kama unampenda sio kosa anachotaka ni commitment.
 
Knachokuumiza wewe ni gharama ulzotumia tu???bas it's a failed investment....
 
Mapenzi na pesa ni "IMANI POTOFU"
 
Naweza nikamtetea kuwa yupo sahihi na statement yake, kama vile wewe unavosikia maumivu na uchungu ukitendwa vivo hivyo alisikia alivoachwa na huyo aliyempa mimba na kumtelekeza, hivo kwa maumivu yale akajiwekea msimamo kuwa wanaume ni kinyonga, mtafurahi leo lakini yakishatoka matokeo ya ile furaha muloifurahia anakuruka. Ko kwa ushauri mkutane then mhoji vizuri na umueleze ukweli kuwa unampenda, i hope atakuelewa.
 
cute datty shukrani kwa jibu lako!!!

Ngoja tusikie wengine wanasemaje Kongosho, snowhite, King'asti, gfsonwin, Ennie na wengine hebu nijuzeni tafwadhali
sasa mmasai wangu apa nikwambie nini jamani??
mie nikongelea kubemenda ntaongelea kitaalam na ukeli hakunaga kitu kama hicho clinically ila tu unyafuzi, magonjwa hasa ya kuambukiza kama kuhara, kukosekana kwa upendo na kujali kwa mtoto humpelekea kunyongea na hivyo kuwa mgonjwa kabisa.

usahilini wanasemaga watu sijui kitambaa cha shughuli sijui mama akifulie sijui majai yake amowgeshee mtoto huku akimkandia hiko kitambaa ni uzuzu tuuu hakuna ukweli wowote. Tena wengine humvisha mtoto mvuje kwenye kamba nyeusi wakisema ooh inamlinda na kubemendeka wengine humpakata mtoto katikati ya moto kisha kumyoosha viungo ili kumkinga lkn vyote ivoo ni uwongo.

kama wazazi msipokuwa wasafi, mkamjali kichanga, mkamlisha mlo mzuri usitegemee hata dhoofu. Mie siungagi mkono ili wazo la kubemenda ingawa sasa ukikaa mitaa ya gereji kila mzazi hasa wa kiswahili meaning watu wa pwani watakuambia mtoto kaveshwa mvuje ili asibemendeke.
 
uyodada yukosawa,coz badoanakidonda so endeleakumuoneshaunavompenda nakumjali kwavitendo i hope atakuelewa2.usiogope badomapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…