Alichonifanyia ni sahihi?

Alichonifanyia ni sahihi?

sasa mmasai wangu apa nikwambie nini jamani??
mie nikongelea kubemenda ntaongelea kitaalam na ukeli hakunaga kitu kama hicho clinically ila tu unyafuzi, magonjwa hasa ya kuambukiza kama kuhara, kukosekana kwa upendo na kujali kwa mtoto humpelekea kunyongea na hivyo kuwa mgonjwa kabisa.

usahilini wanasemaga watu sijui kitambaa cha shughuli sijui mama akifulie sijui majai yake amowgeshee mtoto huku akimkandia hiko kitambaa ni uzuzu tuuu hakuna ukweli wowote. Tena wengine humvisha mtoto mvuje kwenye kamba nyeusi wakisema ooh inamlinda na kubemendeka wengine humpakata mtoto katikati ya moto kisha kumyoosha viungo ili kumkinga lkn vyote ivoo ni uwongo.

kama wazazi msipokuwa wasafi, mkamjali kichanga, mkamlisha mlo mzuri usitegemee hata dhoofu. Mie siungagi mkono ili wazo la kubemenda ingawa sasa ukikaa mitaa ya gereji kila mzazi hasa wa kiswahili meaning watu wa pwani watakuambia mtoto kaveshwa mvuje ili asibemendeke.

Mambo si hayo sasa, hapa palihitajika hilo ndio mana nikachokoa ati
 
utaliwa kiboga shauri yako. huyo hajampeleka mtoto kwa babake, ameachana naye tu kwa mda ila ni mke wa mtu. jamaa yake bado anamtaka. subiri utaona.
 
Wiki mbili tatu zilizopita nilianzisha uhusiano na binti ambaye nilimtamani kama sio kumpenda.

Moyo wangu ulivutiwa na umbo lake na baada ya kuongea naye kidogo nikajisemea rohoni huyu ndio atakula matunda ya kazi yangu.

Nilikuwa najiuliza huyu binti mzuri hivi waharibifu hawajamuona? labda nilipangiwa mimi kuwa naye nk.

Siku moja akaniambia yeye ana mtoto mdogo ambaye amemkabidhi aliyezaa naye, nikaanza kuwa na maswali iweje amkabidhi mtoto kwa baba angali mdogo wa miezi minne tu?

Kadri siku zinavyoenda nimekuwa nam finance vizuri tu kiasi kwamba hata kwao wamemshtukia,wanamuuliza mbona unapendeza hivo siku hizi na yeye anawajibu ni kawaida tu! Kwa kweli nam feel moyoni.

Sasa jana kaninyima usingizi, kaniambia hana uhakika kama nampenda kweli, anasema sisi wanaume ni waongo sana.

Eti kuna mwanaume alimsaliti na hivyo ameachana kabisa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote.

Mpaka sasa ana miezi saba hajafanya mapenzi, akijisikia hamu huimaliza kwa kuangalia picha za xxx.

Ninachojiuliza kwanini hakuniambia siku zote hizo mpaka ananiambia hivi leo wakati mimi nimejitoa kwa hali na mali kumjali?

Sasa wenye mauzoefu niambieni nifanyeje ili niufungue moyo wake uliojeruhiwa.

Mwanamke anayeweza kumuacha mtoto wa tumbo lake ea miezi minne tena mtoto wa pekee amini nakwambia siku yaja atakuachaukiwa ICU ukiumwa na kwemda kupiga starehe hata kuolewa ukiwa kitandani hoi.
 
Wiki mbili tatu zilizopita nilianzisha uhusiano na binti ambaye nilimtamani kama sio kumpenda.

Moyo wangu ulivutiwa na umbo lake na baada ya kuongea naye kidogo nikajisemea rohoni huyu ndio atakula matunda ya kazi yangu.

Nilikuwa najiuliza huyu binti mzuri hivi waharibifu hawajamuona? labda nilipangiwa mimi kuwa naye nk.

Siku moja akaniambia yeye ana mtoto mdogo ambaye amemkabidhi aliyezaa naye, nikaanza kuwa na maswali iweje amkabidhi mtoto kwa baba angali mdogo wa miezi minne tu?

Kadri siku zinavyoenda nimekuwa nam finance vizuri tu kiasi kwamba hata kwao wamemshtukia,wanamuuliza mbona unapendeza hivo siku hizi na yeye anawajibu ni kawaida tu! Kwa kweli nam feel moyoni.

Sasa jana kaninyima usingizi, kaniambia hana uhakika kama nampenda kweli, anasema sisi wanaume ni waongo sana.

Eti kuna mwanaume alimsaliti na hivyo ameachana kabisa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote.

Mpaka sasa ana miezi saba hajafanya mapenzi, akijisikia hamu huimaliza kwa kuangalia picha za xxx.

Ninachojiuliza kwanini hakuniambia siku zote hizo mpaka ananiambia hivi leo wakati mimi nimejitoa kwa hali na mali kumjali?

Sasa wenye mauzoefu niambieni nifanyeje ili niufungue moyo wake uliojeruhiwa.

Kwanza kutokana na stori yako wewe na msichana huyo hsmfahamiani sana.Kama ungelikuwa unamfahamu tangu mudaungelijua kuwa ana mtoto maana mtoto mwenyewe ni mchanga sasa how comes wiki mbili zakufahamiana ushaweka mpaka maagano yote hayo?
Husiamue mambo kwa emotion mkuu
 
Wiki mbili tatu zilizopita nilianzisha uhusiano na binti ambaye nilimtamani kama sio kumpenda.

Moyo wangu ulivutiwa na umbo lake na baada ya kuongea naye kidogo nikajisemea rohoni huyu ndio atakula matunda ya kazi yangu.

Nilikuwa najiuliza huyu binti mzuri hivi waharibifu hawajamuona? labda nilipangiwa mimi kuwa naye nk.

Siku moja akaniambia yeye ana mtoto mdogo ambaye amemkabidhi aliyezaa naye, nikaanza kuwa na maswali iweje amkabidhi mtoto kwa baba angali mdogo wa miezi minne tu?

Kadri siku zinavyoenda nimekuwa nam finance vizuri tu kiasi kwamba hata kwao wamemshtukia,wanamuuliza mbona unapendeza hivo siku hizi na yeye anawajibu ni kawaida tu! Kwa kweli nam feel moyoni.

Sasa jana kaninyima usingizi, kaniambia hana uhakika kama nampenda kweli, anasema sisi wanaume ni waongo sana.

Eti kuna mwanaume alimsaliti na hivyo ameachana kabisa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote.

Mpaka sasa ana miezi saba hajafanya mapenzi, akijisikia hamu huimaliza kwa kuangalia picha za xxx.

Ninachojiuliza kwanini hakuniambia siku zote hizo mpaka ananiambia hivi leo wakati mimi nimejitoa kwa hali na mali kumjali?

Sasa wenye mauzoefu niambieni nifanyeje ili niufungue moyo wake uliojeruhiwa.

huna mke na keep it on your mind unapofinance kuns dume mwenzio anapendezeshwa!!!!!!
 
Unaibiwa mchana kweupeee yaani huoni huo ni uongo?? Mtoto miezi minne ampeleke kwa Baba yake?? Ok fine na mbona anakudanganya eti hajado for seven month??? Huoni kuwa anaogopa kumbemenda mwanae ambae anaishi nae na si kwamba yuko kwa Baba yake??? Vitu vingine viko wazi kabisa

hahahaha hebu toa maelezo, haya yote umeyajulia wap
 
Back
Top Bottom