Wiki mbili tatu zilizopita nilianzisha uhusiano na binti ambaye nilimtamani kama sio kumpenda. Moyo wangu ulivutiwa na umbo lake na baada ya kuongea naye kidogo nikajisemea rohoni huyu ndio atakula matunda ya kazi yangu. Nilikuwa najiuliza huyu binti mzuri hivi waharibifu hawajamuona!labda nilipangiwa mm kuwa naye nk.
Siku moja akaniambia yeye ana mtoto mdogo ambaye amemkabidhi aliyezaa naye,nikaanza kuwa na maswali iweje amkabidhi mtoto kwa baba angali mdogo wa miezi minne tu?
Kadri siku zinavyoenda nimekuwa nam finance vizuri tu kiasi kwamba hata kwao wamemshtukia,wanamuuliza mbona unapendeza hivo siku hizi na yeye anawajibu ni kawaida tu! Kwa kweli nam feel moyoni.
Sasa jana kaninyima usingizi,kaniambia hana uhakika kama nampenda kweli,anasema sisi wanaume ni waongo sana. Eti kuna mwanaume alimsaliti na hivyo ameachana kabisa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote. Mpaka sasa ana miezi saba hajafanya mapenzi,akijisikia hamu huimaliza kwa kuangalia picha za xxx.
Ninachojiuliza kwanini hakuniambia siku zote hizo mpaka ananiambia hivi leo wakati mimi nimejitoa kwa hali na mali kumjali? Sasa wenye mauzoefu niambieni nifanyeje ili niufungue moyo wake uliojeruhiwa!
cc MafikizoloAct picha ya xxx ili akiangalia awe anakuona wewe, af kuanzia hapo sasa endelea kumfariji kwa maneno na pesa
Apo sasa myo uliojeruhiwa utapona...
kama ni kweli, binti ana mixtured feelings.
OLESAIDIMU Kubemenda kwa tafsiri isiyo rasmi ambayo na mm huwa nasikia tu ni wazazi wenye mtt mdg aneyenyonya kufanya mapenzi na mtu au watu tofauti na uliyezaa nae inasemekana hupelekea mtt kutokuwa na afya nzuri.(Ila mimi sijawahi kushuhudia)
Hiyo ni malnutrition kwa mtoto sasa wao wanaihusisha na ufanyaji ngono wa mamaEti eeenh, hivi "kubemenda" hii inakuwaje???!!
Hiyo ni malnutrition kwa mtoto sasa wao wanaihusisha na ufanyaji ngono wa mama
Kinachotokea mama anaacha kunyonyesha baada ya kuliwa kuwa maziwa yamechafuka as a result inaishia mtoto kupata malnutrition.
Unaibiwa mchana kweupeee yaani huoni huo ni uongo?? Mtoto miezi minne ampeleke kwa Baba yake?? Ok fine na mbona anakudanganya eti hajado for seven month??? Huoni kuwa anaogopa kumbemenda mwanae ambae anaishi nae na si kwamba yuko kwa Baba yake??? Vitu vingine viko wazi kabisa
Nimekupenda bureeee kwa ushauri wako mzur sn
Watu8 kula like kubwaaaaaa!!
Uchukue na utendee kazi...
Ney wa Mitego aliwahi kusema, "Kudadadeki mapenzi hayashauriki...Kama kweli we unampenda, mpende tu maradufu..."
Wiki mbili tatu zilizopita nilianzisha uhusiano na binti ambaye nilimtamani kama sio kumpenda.
Moyo wangu ulivutiwa na umbo lake na baada ya kuongea naye kidogo nikajisemea rohoni huyu ndio atakula matunda ya kazi yangu.
Nilikuwa najiuliza huyu binti mzuri hivi waharibifu hawajamuona? labda nilipangiwa mimi kuwa naye nk.
Siku moja akaniambia yeye ana mtoto mdogo ambaye amemkabidhi aliyezaa naye, nikaanza kuwa na maswali iweje amkabidhi mtoto kwa baba angali mdogo wa miezi minne tu?
Kadri siku zinavyoenda nimekuwa nam finance vizuri tu kiasi kwamba hata kwao wamemshtukia,wanamuuliza mbona unapendeza hivo siku hizi na yeye anawajibu ni kawaida tu! Kwa kweli nam feel moyoni.
Sasa jana kaninyima usingizi, kaniambia hana uhakika kama nampenda kweli, anasema sisi wanaume ni waongo sana.
Eti kuna mwanaume alimsaliti na hivyo ameachana kabisa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote.
Mpaka sasa ana miezi saba hajafanya mapenzi, akijisikia hamu huimaliza kwa kuangalia picha za xxx.
Ninachojiuliza kwanini hakuniambia siku zote hizo mpaka ananiambia hivi leo wakati mimi nimejitoa kwa hali na mali kumjali?
Sasa wenye mauzoefu niambieni nifanyeje ili niufungue moyo wake uliojeruhiwa.
Unaibiwa mchana kweupeee yaani huoni huo ni uongo?? Mtoto miezi minne ampeleke kwa Baba yake?? Ok fine na mbona anakudanganya eti hajado for seven month??? Huoni kuwa anaogopa kumbemenda mwanae ambae anaishi nae na si kwamba yuko kwa Baba yake??? Vitu vingine viko wazi kabisa