Alichonifanyia ni sahihi?

Alichonifanyia ni sahihi?

wiki 2 au 3 hivi....unahudumia kweli hayo ni matunda!
 
Wiki mbili tatu zilizopita nilianzisha uhusiano na binti ambaye nilimtamani kama sio kumpenda. Moyo wangu ulivutiwa na umbo lake na baada ya kuongea naye kidogo nikajisemea rohoni huyu ndio atakula matunda ya kazi yangu. Nilikuwa najiuliza huyu binti mzuri hivi waharibifu hawajamuona!labda nilipangiwa mm kuwa naye nk.
Siku moja akaniambia yeye ana mtoto mdogo ambaye amemkabidhi aliyezaa naye,nikaanza kuwa na maswali iweje amkabidhi mtoto kwa baba angali mdogo wa miezi minne tu?
Kadri siku zinavyoenda nimekuwa nam finance vizuri tu kiasi kwamba hata kwao wamemshtukia,wanamuuliza mbona unapendeza hivo siku hizi na yeye anawajibu ni kawaida tu! Kwa kweli nam feel moyoni.
Sasa jana kaninyima usingizi,kaniambia hana uhakika kama nampenda kweli,anasema sisi wanaume ni waongo sana. Eti kuna mwanaume alimsaliti na hivyo ameachana kabisa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote. Mpaka sasa ana miezi saba hajafanya mapenzi,akijisikia hamu huimaliza kwa kuangalia picha za xxx.
Ninachojiuliza kwanini hakuniambia siku zote hizo mpaka ananiambia hivi leo wakati mimi nimejitoa kwa hali na mali kumjali? Sasa wenye mauzoefu niambieni nifanyeje ili niufungue moyo wake uliojeruhiwa!

Mkuu wasichana wengi wanapenda sana recognition.... so jaribu kuonyesha uko serious na yeye kwa kumtambulisha kwa ndugu na jamaa zako... au mwambie akupeleke kwao wakakufahamu... kweli ataona hapo wewe haujamfata kwa kumchezea..... ila fanya hivi kama kweli unampenda, kama unaona haumpendi mwache aendelee na picha zake za XXX
 
Yaani unajitoa muda wako na hela lengo likiwa kumla, hlf muda wote huo hujamla tu..... Aiseeee kazi kweli kweli
 
kama ni kweli, binti ana mixtured feelings.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni malnutrition kwa mtoto sasa wao wanaihusisha na ufanyaji ngono wa mama
Kinachotokea mama anaacha kunyonyesha baada ya kuliwa kuwa maziwa yamechafuka as a result inaishia mtoto kupata malnutrition.

Umeiona hii changamoto kaka asakuta same !!!!!
 
Last edited by a moderator:
Unaibiwa mchana kweupeee yaani huoni huo ni uongo?? Mtoto miezi minne ampeleke kwa Baba yake?? Ok fine na mbona anakudanganya eti hajado for seven month??? Huoni kuwa anaogopa kumbemenda mwanae ambae anaishi nae na si kwamba yuko kwa Baba yake??? Vitu vingine viko wazi kabisa

ivi unajua siku hizi mabinti wa mjini huset mitego wanaume kuliwa viboga.!!

Huyu ataliwa, au kulipishwa fedha tegoni.

MJINI..!!
 
Mbona umejitwika upofu na akili umeiweka tope kiasi kwamba huwezi kufikiria hata kidogo huyo dada anatatizo katika hali ya kawaida huwezi kumchukua mwanao mwenye umri wa miezi minne au hata sita ukamtelekezea mwanaume binafsi namuona huyo mwnamke kama katili na wewe hata hushtuki unaoneka kuwa comfortable na kila hali .
Anakutumia huyo amka usingizini bwana ifike mahali ufikirie kwa kichwa ya juu .
 
Hajafanya mapenzi miezi saba kwasababu ya uzazi na sio sababu nyingine kwanza anaonekana mcharuko mwanamke mwenye staha na akili kama ulimvyomsifia hawezi kutelekeza mtoto kwa mwanaume muda huo anafanya nini ? ana soma ? kama hasomi kwanini asikae na mtoto wake
Kampeleka mtoto kwa mwanaume afanye uma...laya vizuri na kashapata kichwa wewe ndiye kichwa unaliwa tuu na hujielewi. Kama kashindwa kumpenda na kumthamini mwanae aliye kaa tumboni miezi yote tisa na uchungu ameupata katika kujifungua atakuthamini wewe hebu amka@leipzig
 
Ney wa Mitego aliwahi kusema, "Kudadadeki mapenzi hayashauriki...Kama kweli we unampenda, mpende tu maradufu..."

Haswa kaka, kama waliopo mapenzini watalifanya penzi liwe na ustawi basi ndio utakuwa mwarobaini wa kadhia zozote za kimapenzi...
 
Wiki mbili tatu zilizopita nilianzisha uhusiano na binti ambaye nilimtamani kama sio kumpenda.

Moyo wangu ulivutiwa na umbo lake na baada ya kuongea naye kidogo nikajisemea rohoni huyu ndio atakula matunda ya kazi yangu.

Nilikuwa najiuliza huyu binti mzuri hivi waharibifu hawajamuona? labda nilipangiwa mimi kuwa naye nk.

Siku moja akaniambia yeye ana mtoto mdogo ambaye amemkabidhi aliyezaa naye, nikaanza kuwa na maswali iweje amkabidhi mtoto kwa baba angali mdogo wa miezi minne tu?

Kadri siku zinavyoenda nimekuwa nam finance vizuri tu kiasi kwamba hata kwao wamemshtukia,wanamuuliza mbona unapendeza hivo siku hizi na yeye anawajibu ni kawaida tu! Kwa kweli nam feel moyoni.

Sasa jana kaninyima usingizi, kaniambia hana uhakika kama nampenda kweli, anasema sisi wanaume ni waongo sana.

Eti kuna mwanaume alimsaliti na hivyo ameachana kabisa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote.

Mpaka sasa ana miezi saba hajafanya mapenzi, akijisikia hamu huimaliza kwa kuangalia picha za xxx.

Ninachojiuliza kwanini hakuniambia siku zote hizo mpaka ananiambia hivi leo wakati mimi nimejitoa kwa hali na mali kumjali?

Sasa wenye mauzoefu niambieni nifanyeje ili niufungue moyo wake uliojeruhiwa.

nilikaa two years without having sex nilikua nawachukulia men kawaida sana so inawezekana kweli alitendwa hata ile hamu na wanaume han ndo maana kaamua kulea mwanawe km unampenda mvumilie
 
Unaibiwa mchana kweupeee yaani huoni huo ni uongo?? Mtoto miezi minne ampeleke kwa Baba yake?? Ok fine na mbona anakudanganya eti hajado for seven month??? Huoni kuwa anaogopa kumbemenda mwanae ambae anaishi nae na si kwamba yuko kwa Baba yake??? Vitu vingine viko wazi kabisa

Samaahni, ndio nadharia gani hii?
 
Back
Top Bottom