kilengason
Member
- Feb 10, 2014
- 18
- 1
Prof. SOSPETER MHONGO....asante baba leo umeuidhihirishia uma wa watanzania kwamba zip...mbivu na mbichi bungeni....nakuombea maisha marefu AMEN
Mnyika^4+4=4 yaani hapo kwenye huo mlinganyo thamani ya Mnyika ni 0 au Mnyika=0 ndio anamaanisha hivyo Mhongo
Kwa ccm hii ni afya tuu na wala Muhongo hajakosea kabisa.habari wana jf?
akijibu hoja mbali mbali za wabunge profesa muhongo amehoji juu ya sababu za kwa nini ale sendeka bado ni mwanachama wa ccm ili hali kuna ushahidi kua ni mchochezi ndani ya chama.
pfofesa ameongeza kuwa anakusudia kuwasilisha ushahidi huo uliopo kwenye cd kwenye chama ili chama kiamue kama kinaweza kuwa na mwanachama wa aina hiyo.
pia akahoji kwa kile alichokiita ujiniasi wa ole sendeka ndani ya bunge kwani ameonekana kama msumbufu na mtu anaependa kujaribu kukwamisha mambo mengi ya serikali.
akaenda mbali zaidi na kuanza kusoma matokeo ya kidato cha nne ya ole sendeka ili wabunge wapime ujiniasi anaouonesha ole sendeka kama unaendana na maokeo yake ya shuleni. kwa bahati nzuri kabla hajataja spika alizima maiki na kumuomba profesa asitaje hadharani.
nini maoni yako mwana jf juu ya swala hili ndani ya ccm?
nawasilisha.
Mkuu Tanzania hakunawapinzani bali tuna watu wenye price tag kama uzi unavyo sema na ndicho tunacho jadili hapa.Hivi kilichowatoa wapinzani bungeni ninini jamani?.
umejibiwa hapo juu kaka Profesa Muhongo kampeleka munyika into mathematical munyika akawa sifuri...
Kwa nini unasema hivyo?
Kusema ni muhimu, muhimu zaidi ni kuleta hiyo CCTV kabla hatujaaamua. Isije baadaye tukaambiwa Muhongo ni kichaa.
huyu prof.ni mtanzania?kikwete anaangaliaga sifa zp anapoteua?
Huyu si ndo mengi alisema hajawahi kuajiri hata house gril?Ni majanga amesoma lakini hajelimika.Pia sikujua JF kwamba ina w.a.p.u.m.b.a.v.u wengi kiasi hiki wasiopenda nchi yao na rasilimali zake.Huu nao ukichaa mpya kwa kizazi hiki.Kwani unadhani ni mzima huyo muhongo? Eti profesa jamani badala ya kujibu hoja anafatilia cv za watu aliye mwambia elimu ndio inaongoza wakina profesa wenzake maji marefu and co-wasingekuwa wabunge personal attack kwenye sensitive issue? hewa kabisa
Kwa kuweka Avant ya MAVI ni kweli wewe MAVI
Tatizo lako ni kukurupuka. Soma alichoandika aliyeanzisha uzi huu. Serikali inalalamika. Maanake nini? Hasiseme ndiyo nini? Tulia.Hebu twambie alicho ongea kinacho idhalilisha serikali.
Hivi kama ana ushahidi watu wana chukua pesa hasiseme?
mtu mwenyewe mbunge viti maalumu halafu analeta mbwembwe zake za kishamba[/QUOT
viti maalum ni kwa wanawake tu ili kuleta uwiano wa kijinsia bungebi.muhongo ni mbunge wa kuteuliwa kwa nafasi aliyopewa raisi kikatiba ya kuteua wabunge kumi kama alivyo james mbatia.
Mnyika Kidato cha Nne alipata Divisheni ONE ya pointi 7 alipata A TISA, kadhalika A Level pia alipata Divisheni ONE!hahahah matokeo ya munyika yasalimika kutajwa na mhongo