Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,227
- 94,692
'CCM haina dira wala mwelekeo', maneno hayo yalipotamkwa na Bw Horace Kolimba, maskini ya Mungu ndio yakawa mwanzo wa mwisho wa uhai wake...
Akili kubwa ya Bw Kolimba ilipojaribu kuzifumbua macho akili nyinginezo, wana wa uovu wakauchukua uhai wake pasipo huruma...
Ni heri hawa wanaotumia demokrasia kufanya maamuzi kuliko wale wanaotumia propaganda chafu za mauaji...
God have mercy...
Akili kubwa ya Bw Kolimba ilipojaribu kuzifumbua macho akili nyinginezo, wana wa uovu wakauchukua uhai wake pasipo huruma...
Ni heri hawa wanaotumia demokrasia kufanya maamuzi kuliko wale wanaotumia propaganda chafu za mauaji...
God have mercy...