Alichofanyiwa Zitto ndani ya CHADEMA: Akili ndogo inatawala akili kubwa

mimi si mshabiki sana wa siasa ingawa huwa napitia taarifa mbalimbali ili kiwa up to date na taarifa ndani ya nchi yangu,

kwa kweli mimi sioni tatizo hapo, wao wana akili kubwa, wamefukuzwa ktk chama walichokuwapo, sasa wako ktk chama kingine, nadhani ni fursa kwao huko waliko kuonyesha hiyo akili kubwa waliyonayo na wanaweza kutimiza furaha yako mto mada.

True mpwa
 
images

Kuvuliwa vyeo kwa Zitto Zuberi Kabwe na Dr Kitila Mkumbo kutakuwa na visingio vingi, ukweli ni kwamba
"NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA" It is natural kwamba akili ndogo ikitawala akili kubwa,
1) Yatatumika mabavu na nguvu nyingi kuizuia akili kubwa kupanda juu,
2) Zitatafutwa sababu nyingi na visingizio uchwara kuhalalisha kuizima akili kubwa tofauti na vigezo vya hoja kwakuwa akili ndogo haiwezi kuizidi akili kubwa kwa hoja,
3) Hutumika vitisho vingi kuzuia akili kubwa kuchukua hadhi yake
4) Akili ndogo ni rafiki wa akili ndogo mwenzake, hivyo akili ndogo huzungukwa na akili ndogo kwakuwa ushauri wa akili kubwa akili ndogo hushindwa kutumia ama kushindwa kuonesha umiliki mbele za watu. Kwenye chadema wenye akili wote wako nje ya uzio wa chemichemi ya mawazo.

Pale bungeni watu wanaoweza kufundisha na waliokuwa wakifundisha hata unaibu waziri kivuli hawapati kwakuwa wanatumia akili zaidi badala ya nguvu.

Lakini walioishia kidato cha kwanza, pili, tatu na zero ndio think tanks na ndio majembe ya chadema kwakuwa wanatumia mabavu na manguvu zaidi kuliko akili sawasawa na matakwa mahitaji ya akili ndogo inayoongoza akili kubwa.

Vijana wahitimu wa vyuo wanaopenda siasa waliandikiwa barua kuwazuia kuhutubia mkutano wowote wa hadhara sawasawa na matakwa ya akili ndogo inapotawala akili kubwa. Zito, Kitila, Christowaja, Matiko, Opulukwa, Baregu, Leticia, Selasini, Arfi, Akunay, Naste wengi wao MA holders kwa chadema ni rejects. Ukiwa mwanafamilia au ukoo au kazi au wito maalum wa viongozi ndio utakwepo kwenye list.

I know Zitto tangu tukiwa chuoni, he is a brilliant and consistent politician, namjua Dr Kitila tangu chuoni, he is resourceful. Hivi kosa walilofanya ni kubwa kuliko mchango wao waliofanya kwenye kuwajenga watanzania kuwaamini vijana kwenye siasa? Je kosa lao ni kubwa kuliko mchango wao unavyohitajika? Vijana tuko kazini na wakati huohuo tuko mafunzoni.

Sio adhabu nzuri ya kuwafukuza ama kuwaondoa kwenye fursa ya kujifunza zaidi.
Haya ndio madhara ya AKILI NDOGO KUTAWALA AKILI KUBWA, HOFU NDIO HUTAWALA


mmemalizana na lowassa kwanza muda wote mnahangaika nae tu
 
images

Kuvuliwa vyeo kwa Zitto Zuberi Kabwe na Dr Kitila Mkumbo kutakuwa na visingio vingi, ukweli ni kwamba
"NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA" It is natural kwamba akili ndogo ikitawala akili kubwa,
1) Yatatumika mabavu na nguvu nyingi kuizuia akili kubwa kupanda juu,
2) Zitatafutwa sababu nyingi na visingizio uchwara kuhalalisha kuizima akili kubwa tofauti na vigezo vya hoja kwakuwa akili ndogo haiwezi kuizidi akili kubwa kwa hoja,
3) Hutumika vitisho vingi kuzuia akili kubwa kuchukua hadhi yake
4) Akili ndogo ni rafiki wa akili ndogo mwenzake, hivyo akili ndogo huzungukwa na akili ndogo kwakuwa ushauri wa akili kubwa akili ndogo hushindwa kutumia ama kushindwa kuonesha umiliki mbele za watu. Kwenye chadema wenye akili wote wako nje ya uzio wa chemichemi ya mawazo.

Pale bungeni watu wanaoweza kufundisha na waliokuwa wakifundisha hata unaibu waziri kivuli hawapati kwakuwa wanatumia akili zaidi badala ya nguvu.

Lakini walioishia kidato cha kwanza, pili, tatu na zero ndio think tanks na ndio majembe ya chadema kwakuwa wanatumia mabavu na manguvu zaidi kuliko akili sawasawa na matakwa mahitaji ya akili ndogo inayoongoza akili kubwa.

Vijana wahitimu wa vyuo wanaopenda siasa waliandikiwa barua kuwazuia kuhutubia mkutano wowote wa hadhara sawasawa na matakwa ya akili ndogo inapotawala akili kubwa. Zito, Kitila, Christowaja, Matiko, Opulukwa, Baregu, Leticia, Selasini, Arfi, Akunay, Naste wengi wao MA holders kwa chadema ni rejects. Ukiwa mwanafamilia au ukoo au kazi au wito maalum wa viongozi ndio utakwepo kwenye list.

I know Zitto tangu tukiwa chuoni, he is a brilliant and consistent politician, namjua Dr Kitila tangu chuoni, he is resourceful. Hivi kosa walilofanya ni kubwa kuliko mchango wao waliofanya kwenye kuwajenga watanzania kuwaamini vijana kwenye siasa? Je kosa lao ni kubwa kuliko mchango wao unavyohitajika? Vijana tuko kazini na wakati huohuo tuko mafunzoni.

Sio adhabu nzuri ya kuwafukuza ama kuwaondoa kwenye fursa ya kujifunza zaidi.
Haya ndio madhara ya AKILI NDOGO KUTAWALA AKILI KUBWA, HOFU NDIO HUTAWALA


kingine kinachowashinda nyinyi ccm kuwatoa waovu mnakuwa tayari mmeshirikishana katika wizi wa mali za umma ni ngumu kumtoa mwanachama wa ccm ndani ya ccm kwa kuwa wote tabia zinafanana mnapiga dili sawasawa mkakati wenu wa kuwavua mafisadi magamba naona ulifanikiwa sisi msaliti na mhujumu uchumi hana nafasi japo mnajuana toka mkiwa shule kwetu si kigezo cha kukumbatia wasaliti kisa kujuana na mtakapo jaribu kuwatoa wezi na wasaliti bas ndo anguko la ccm kundi moja litamwaga mboga lingine ugali chadema haiwez kuteteleka kwa kumtoa mtu mmoja asiye mwaminifu.

pia madhara ya akili kubwa kuitawala sana akili ndogo kuna vitu akili kubwa inafanya ikitegemea akili ndogo haina uwezo wa kutambua basi kila kitu kinahamishiwa kwa akili kubwa mwisho wa siku akili ndogo inapoteza ulekeo na matumaini ya kimaisha mfano wa akili kubwa kuchukua millioni kumi kuifanya bajeti ya mboga wakati akili ndogo bajeti yake ya siku haizid shilingi elfu moja na kuipata ni shida kweli huo ndio uwezo wa akili kubwa kujilimbikizia mali za umma kisa kaaminiwa na akili hizi kubwa zipo ndani ya ccm wacha sisi akili ndogo tufanye mabadiliko ya kweli kwa utaifa lazima tuishi kwa usawa. na amani.
 
Hivi kina prof.Safari unaweza kumlinganisha na Arfi? Zto nenda ukajenge ccm ...Hongera sana Mwigulu kwakuwa sasa ccm mmepata jembe ...mtumieni Zito vizur kueneza ccm
 
Ukweli utabakia Kuwa ukweli Daima ,vijana wa CDM hawawezi kumchalenji mbowe au Dr slaa wanakosa demokrasia ndani ya chama chao
 
Mwigulu hili song linunue maana ulisha lianzisha, so sijui una lalama nini.
Kama KITILA kwako ni lulu mbona alifukuzwa CCM? Na kama ww ni mwema na lijichama lako wachukueni maana nyie ndo mna akili kubwa. Akili kubwa naona inapoteza maana, kama akili kubwa ndo hiyo unayo idefine kwa hawa na ww ni akilikubwa unayo ijua wewe na sio niijuayo mm.

Umesha warubuni na kujitapa wewe na wasira kuwa CHADEMA MWISHO WAKE ILIKUWA 2014. Wenye akili wanasonga mbele na nitishio kwenu sasa hivi. Nadhani umeshayaona mashara yake kwenye serikali za mitaa sasa dawa yako nikukung'oa na ww jimboni kwako.

Wewe na hao akina ZITTO, KITILA , MWIGAMBA ni sawa tuu, wote wabinafsi tuu. Ilikuwaje uka simamishwa na kinana kuto kuendelea na kampeni zako za chopa? Wenzako wanenda kwa jshirikiano wewe unaenda kibinafsi ndo walewale tuu
 
Baada ya ndoto yako ya urahisi kuvunjika ndo umeamua urudie siasa zako za maji taka?kumbuka kauli yako uliyowaambia ACT pindi wanafanya siasa za kuishambulia CDM zaidi ulisema kwamba "kuisema vibaya CDM ni sawa na kujitangazia uadui na taifa,wewe inakugarimu kwenye mbio zako za urais"
 
Ukweli utabakia Kuwa ukweli Daima ,vijana wa CDM hawawezi kumchalenji mbowe au Dr slaa wanakosa demokrasia ndani ya chama chao

Wewe umemchallenge kikwete lin?kwanza ccm ni.chama cha kifalme anayekuwa rais et ndo mwenyekit wa chama ..ni udikteta wa hali ya juu...na nashangaa ..maccm mnahubir demokrasia ila kwenu hamhoji na hamtend...
 
Mwacheni waziri apige kazi...! nadhani akiulizwa sasa hivi juu ya haya aliyoandika 2013 atakuwa na majibu tofauti...!
 
Hahahaha kama ambavyo akili ndogo (mwenyekiti wa sisiemu) imekuwa ikitawala akili kubwa (w ewe mwigulu).....hili halina ubishi kwamba uwezo wa uongozi ni mkubwa kuliko wa mwenyekiti wako na sio kwenye uongozi pekee ata kiakili I appreciate uwezo wako......just two sides of the same coin..
 
Duuh! Mwigulu unajiaibisha sana!!!! Kwa taarifa yako sifa kubwa ya binadamu bila kujali kuwa ni msomi au la ni SIFA YA KUAMINIKA.

Tumchukulue mfano Chenge. Ni Msomi mkubwa ajabu (Harvard Alumnus). But pamoja na usomi wake bado kaligharimu taifa sana tu kwa kukosa UAMINIFU! Hasara kubwa ambayo Tanzania na Watanzania tunapata inatokana na mikataba ya hovyo aliyotuingiza Chenge alipokuwa AG zama za Mkapa. Usomi wake haukuwa na msaada kwa watanzania isipokuwa UAMINIFU wake....ambao hana!

Kwa kifupi ni kwamba ZITO hakuwa na UAMINIFU kwa chama chake, kwahiyo 'AKILI KUBWA' ya ZITO isingekuwa na msaada wowote kwa CHADEMA. ZITO alikubali kuwekewa 'PRICE TAG' kichwani mwake na wabaya wa CHADEMA, naye akakubali. Mwanasiasa kama ZITO hakutakiwa kuwa 'CHEAP' to that extent!

Kule Burkina Fasso kuna vuguvugu kubwa la kutaka mwili wa COMRADE SANKARA ufukuliwe. Sankara aliuwawa miaka 20 iliyopita lakini bado anaishi vichwani mwa wafuasi wake. Hii si kwa sababu ya U-'AKILI KUBWA' wake ila ni kwa sababu ya UAMINIFU wake kwa taifa lake! Alikuwa hana bei kwa mabeberu wa Ulaya na Marekani.
images

Kuvuliwa vyeo kwa Zitto Zuberi Kabwe na Dr Kitila Mkumbo kutakuwa na visingio vingi, ukweli ni kwamba

"NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA" It is natural kwamba akili ndogo ikitawala akili kubwa,
1) Yatatumika mabavu na nguvu nyingi kuizuia akili kubwa kupanda juu,
2) Zitatafutwa sababu nyingi na visingizio uchwara kuhalalisha kuizima akili kubwa tofauti na vigezo vya hoja kwakuwa akili ndogo haiwezi kuizidi akili kubwa kwa hoja,
3) Hutumika vitisho vingi kuzuia akili kubwa kuchukua hadhi yake
4) Akili ndogo ni rafiki wa akili ndogo mwenzake, hivyo akili ndogo huzungukwa na akili ndogo kwakuwa ushauri wa akili kubwa akili ndogo hushindwa kutumia ama kushindwa kuonesha umiliki mbele za watu. Kwenye chadema wenye akili wote wako nje ya uzio wa chemichemi ya mawazo.

Pale bungeni watu wanaoweza kufundisha na waliokuwa wakifundisha hata unaibu waziri kivuli hawapati kwakuwa wanatumia akili zaidi badala ya nguvu.

Lakini walioishia kidato cha kwanza, pili, tatu na zero ndio think tanks na ndio majembe ya chadema kwakuwa wanatumia mabavu na manguvu zaidi kuliko akili sawasawa na matakwa mahitaji ya akili ndogo inayoongoza akili kubwa.

Vijana wahitimu wa vyuo wanaopenda siasa waliandikiwa barua kuwazuia kuhutubia mkutano wowote wa hadhara sawasawa na matakwa ya akili ndogo inapotawala akili kubwa. Zito, Kitila, Christowaja, Matiko, Opulukwa, Baregu, Leticia, Selasini, Arfi, Akunay, Naste wengi wao MA holders kwa chadema ni rejects. Ukiwa mwanafamilia au ukoo au kazi au wito maalum wa viongozi ndio utakwepo kwenye list.

I know Zitto tangu tukiwa chuoni, he is a brilliant and consistent politician, namjua Dr Kitila tangu chuoni, he is resourceful. Hivi kosa walilofanya ni kubwa kuliko mchango wao waliofanya kwenye kuwajenga watanzania kuwaamini vijana kwenye siasa? Je kosa lao ni kubwa kuliko mchango wao unavyohitajika? Vijana tuko kazini na wakati huohuo tuko mafunzoni.

Sio adhabu nzuri ya kuwafukuza ama kuwaondoa kwenye fursa ya kujifunza zaidi.
Haya ndio madhara ya AKILI NDOGO KUTAWALA AKILI KUBWA, HOFU NDIO HUTAWALA

 
Ngoja waje wenye kuyashuhudia haya wayashuhudie maana umemfananisha ZZK na Musa aliye tumwa na Mungu. Kumbuka tu mpendwa Mungu kusudi lake huwa halikwami hata kama ni kwa gharama gani. Hata moyo wa Farao aliufanya mgumu ili wamtambue kuwa yeye ni Mungu anayepaswa kuabudiwa. Sasa sijui kama ni sawa kumfananisha ZZK na Musa aliyetumwa na Mungu. Kwa nielewavyo mimi hakuna mtu aliyetumwa na Mungu halafu kusudi lake halikutimia.

Kusudi la ZZK alijakwama mpaka sasa amefanya mambo makubwa akiwa kama mbunge wa mahakama siyo wa chadema ambayo yameleta na kuonesha kinachoendelea Tanzania kwa kutoa oja zenye mshiko mf.swala la ESCROW kwaiyo mtoa mada kumuita mtu wa Mungu ajakosea.
 
Back
Top Bottom