Alibakari live interview on DJ sepetu show!!

Alibakari live interview on DJ sepetu show!!

Pole ila l guess mzee alikuwa chama chenye makao pale kwa wagogo!
Nini unampendea mkeo ambacho ni ngumu kukikuta kwa mwanamke mwingine!?
Hujuii kumuoa yeye!
Ahsante, mke wangu ni mtu mwenye upendo usio na kifani kwangu, mpole, msikivu, mstahmilivu, mvumilivu, mama makini na anaejali familia yake, ALLAH amzidishie
 
Ahsante, mke wangu ni mtu mwenye upendo usio na kifani kwangu, mpole, msikivu, mstahmilivu, mvumilivu, mama makini na anaejali familia yake, ALLAH amzidishie
Pamoja na mvua hii ya sifa binadamu sio malaika nn udhaifu Wa mkeo? Unadhani nini kinaweza kumfanya akusaliti hatuombi hayo lakini!
 
Niliponusurika kuuawa kinyama baada kutangazwa mshindi wa kiti cha Urais mwaka 1995, nakumbuka ilikuwa mwezi Oktoba tarehe 31 siku ya Jumanne
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hapa nachanganya na akili zangu kiduchu tu
 
Pamoja na mvua hii ya sifa binadamu sio malaika nn udhaifu Wa mkeo? Unadhani nini kinaweza kumfanya akusaliti hatuombi hayo lakini!
Udhaifu wake ni kama binadamu wengine, lakini akiona jambo loloye haliko sawa basi yeye huhitaji apate maelezo ya kina. Ni vizuri sana na namsifu kwa uadilifu. Kuhusu usaliti, hakuna binadamu mwenye uwezo wa kumzuia binadamu mwengine kwenye jambo hilo endapo tu ameamua kufanya hivyo. Lakini kwayeye namsifu kwa uadilifu.
 
Udhaifu wake ni kama binadamu wengine, lakini akiona jambo loloye haliko sawa basi yeye huhitaji apate maelezo ya kina. Ni vizuri sana na namsifu kwa uadilifu. Kuhusu usaliti, hakuna binadamu mwenye uwezo wa kumzuia binadamu mwengine kwenye jambo hilo endapo tu ameamua kufanya hivyo. Lakini kwayeye namsifu kwa uadilifu.
Sawa! Je ukipewa million 200 na mchepuko umpige bao moja_ sorry!
Utakubali?wakati mkeo akiwa chumbani amelala wewe sebuleni!
 
Samahani mkuu,yale mambo yako ya kununua warembo Badoo unafanya?
Naam, swali zuri[emoji4] [emoji4] kuna kipindi nilikuwa nasoma, fani niliyokuwa nasomea ndio ilinilazimu kufanya utafiti, kwahiyo katika utafiti nilokuwa nafanya ilinilazimu nitumie njia mbali mbali kwa lengo la kupata taarifa sahihi. Baada ya kumaliza, nilifuta mpaka account. Sikuwa lengo baya nao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom