Alibakari live interview on DJ sepetu show!!

Alibakari live interview on DJ sepetu show!!

Niliponusurika kuuawa kinyama baada kutangazwa mshindi wa kiti cha Urais mwaka 1995, nakumbuka ilikuwa mwezi Oktoba tarehe 31 siku ya Jumanne
Ilikuaje man!?
Ulikuwa chama gani au wakala Wa chama gani na vipi ulimkimbia Israel ?
 
Ilikuaje man!?
Ulikuwa chama gani au wakala Wa chama gani na vipi ulimkimbia Israel ?
Bahati mbaya mi nilikuwa ni mdogo sana, nakumbuka nilikuwa na miaka 9 niko std 2C, lakini nilikuwa na akili sana. Hiyo yote ilitokea kwa sababu pale mtaani nilipokuwa nakaa kulikuwa na matawi mawili ya vyama vya siasi , ambapo mojawapo mzee wangu ndio alikuwa Mwenyekiti
 
Bahati mbaya mi nilikuwa ni mdogo sana, nakumbuka nilikuwa na miaka 9 niko std 2C, lakini nilikuwa na akili sana. Hiyo yote ilitokea kwa sababu pale mtaani nilipokuwa nakaa kulikuwa na matawi mawili ya vyama vya siasi , ambapo mojawapo mzee wangu ndio alikuwa Mwenyekiti
Pole ila l guess mzee alikuwa chama chenye makao pale kwa wagogo!
Nini unampendea mkeo ambacho ni ngumu kukikuta kwa mwanamke mwingine!?
Hujuii kumuoa yeye!
 
Mkuu mbona vyuma vyote hivi unamiliki wewe tu tuachie vingine na sisi
Najisikia vibaya sana nini hii sasa
Shit [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
Poleeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom