Kiswahili jamani vinginevyo hapa mnala haufiki mbali titaishia hapahapa [emoji3] [emoji3] [emoji2]Ye nyabbo nyagala nyoo amaiziyo!
Kiswahili jamani vinginevyo hapa mnala haufiki mbali titaishia hapahapa [emoji3] [emoji3] [emoji2]Ye nyabbo nyagala nyoo amaiziyo!
Hujapata tu pamoja na lile tangazo lako?Ye nyabbo nyagala nyoo amaiziyo!
Hivi simba anaweza kuwa na urafiki na mwanakondoo,time will tell!Anajua kama nina mke, bahati nzuri nilimweka wazi, ni mchepuko lakini sio wa kingono sana sana ni kufarijiana tu.
Kuhusu ID yake naipenda kuificha ila nikipata idhni yake nitaiweka wazi.
PoaKiswahili jamani vinginevyo hapa mnala haufiki mbali titaishia hapahapa [emoji3] [emoji3] [emoji2]
Muombe ridhaa yake utuwekee hiyo ID wazi.Anajua kama nina mke, bahati nzuri nilimweka wazi, ni mchepuko lakini sio wa kingono sana sana ni kufarijiana tu.
Kuhusu ID yake naipenda kuificha ila nikipata idhni yake nitaiweka wazi.
Basi hongera kwa kubatizwa na maji moto, hukunywapo kidogo??Yako nina bahatisha ni matamu sana! Sijawahi kosa bahati nasibu ujue sweetheart!
Inawezekana pale tu ukiweza kuzizuia hisia zako za kingono kuwezo kutawala fikra zako.Hivi simba anaweza kuwa na urafiki na mwanakondoo,time will tell!
Ushawahi kamata mkwanja wako mwenyewe mrefu ka kiasi gani!?
Ulifanyia Nini!
Angalia jicho hilo lisije tobolewa na kijitiMm nitakuwa mpiga chabooo
Usiiweke waziAnajua kama nina mke, bahati nzuri nilimweka wazi, ni mchepuko lakini sio wa kingono sana sana ni kufarijiana tu.
Kuhusu ID yake naipenda kuificha ila nikipata idhni yake nitaiweka wazi.
Ondoa shaka, ngoja nimuombe muhusika.Muombe ridhaa yake utuwekee hiyo ID wazi.
Wapo wengi wenye michepuko kwa hapa JF kwa lengo kama lako na tunawajua vizuri tu na tunataniana na kufurahi kama kawaida
Tanxs my booo wa hiariKaribu Darling!
[emoji3][emoji3][emoji3] nina macho kama bundiAngalia jicho hilo lisije tobolewa na kijiti
Jambo gani hutolisahau maishani mwako ulilopitia!Inawezekana pale tu ukiweza kuzizuia hisia zako za kingono kuwezo kutawala fikra zako.
Nilishawahi kukamata mkwanja mrefu, kama sikosei ilikuwa ni 20,000,000 na ndio ambazo nilitumia kununulia kiwanja na kuanza ujenzi.
Bwabwabwa uwe unaenda na kaglass kakukingiaAhahaha ashakum si matusi nishakunywa mengi tu maana saa ingine unafukua chumvi mwenzio anafungulia bomba[emoji23] [emoji23]
Eeeee utaogopwa mwenzangu ya bundi tena[emoji3][emoji3][emoji3] nina macho kama bundi